Bunge siyo mali ya Spika au chama cha siasa bali ni mali ya Wananchi, lisifanywe kama Huduma ya " Kilokole"

Bunge la sasa ndio linamaliza muda wake na linategemewa kuvunjwa rasmi mwezi June panapo majaliwa.

Tumeshuhudia bunge hili likipoteza wabunge wengi kwa kufukuzwa na huenda likawa limeweka historia ya nahodha kuwatosa mabaharia baharini.

Yote kwa yote maisha bado yanaendelea baada ya siasa.

Leo natoa tu angalizo kwa bunge lijalo bila kujali Spika atakuwa Zungu, Chenge au Tulia, kwamba chonde chonde bunge ni mali ya wananchi.

Uongozi ni dhamana tu sisi wananchi tunataka wabunge wote wapate haki kwa usawa, tena walindwe na kuongozwa vyema mbunge kufukuzwa liwe ni swala la mchakato na siyo uamuzi wa mtu mmoja mnatutia hasara walipa kodi.

Spika siyo Nabii au mtume anayemiliki Huduma ya kichungaji ambaye yeye ni alpha na omega bali Spika ni mtumishi wa wananchi.

Mwenye enzi Mungu alibariki bunge lijalo.

Maendeleo hayana vyama!
comrade, leo umeandika kizalendo kweli kweli hadi nikadhani nimekosea kusoma id!!
 
Tatizo siyo Ndugai wala Magufuli, tatizo ni sisi wananchi tumekubali kila jambo lianzie magogoni au chamwino.

Huo ndio utaratibu uliopo sio kwamba tunapenda, labda tulete machafuko ili turudi kwenye kuheshimiana.
 
Bunge la sasa ndio linamaliza muda wake na linategemewa kuvunjwa rasmi mwezi June panapo majaliwa.

Tumeshuhudia bunge hili likipoteza wabunge wengi kwa kufukuzwa na huenda likawa limeweka historia ya nahodha kuwatosa mabaharia baharini.

Yote kwa yote maisha bado yanaendelea baada ya siasa.

Leo natoa tu angalizo kwa bunge lijalo bila kujali Spika atakuwa Zungu, Chenge au Tulia, kwamba chonde chonde bunge ni mali ya wananchi.

Uongozi ni dhamana tu sisi wananchi tunataka wabunge wote wapate haki kwa usawa, tena walindwe na kuongozwa vyema mbunge kufukuzwa liwe ni swala la mchakato na siyo uamuzi wa mtu mmoja mnatutia hasara walipa kodi.

Spika siyo Nabii au mtume anayemiliki Huduma ya kichungaji ambaye yeye ni alpha na omega bali Spika ni mtumishi wa wananchi.

Mwenye enzi Mungu alibariki bunge lijalo.

Maendeleo hayana vyama!
Dhana ya bunge ni chombo na sauti ya wanachi ilizikwa na Ndugai, Tulia na mh. Rais!!!
Kwa sasa lile ni tawi la CCM linalohakikisha sauti za watu hazisikiki tena. Linalohakikisha kazi kubwa ya bunge ni kuhakikisha CCM inafanya itakavyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
johnthebaptist ,

..labda Spika akiwa siyo mbunge, akitoka nje ya bunge, itasaidia ktk kuliendesha bunge kwa weledi zaidi.

..Maspika wanaotokana na ccm wamekuwa wakipoteza muelekeo na wakati mwingine kutanguliza ukereketwa wa chama.
 
Rais aliwahi mwambia kwenye tukio moja pale Ikulu,washughulikie huko Bungeni,wakija huku yeye atawashughulikia.
Tuna Spika wa ajabu sana kuwahi kutokea .
Shida sio spika, shida ni chama anachotokea spika.
Kumbuka Mr Six alivyojitambua kuleta usawa na haki ya mawazo hakurudi tena.
Ideology za CCM ni za ujamaa bin Socialist baba yake communist.
CCM haiamini katika uhuru wa mawazo bali matakwa ya politburo yaani Central Committee.
CCM ina amini kutawala nchi kwa miaka elfu mmoja kwa namna yoyote.
CCM inavichukulia vyama vya upinzani sawa na wavamizi kisiasa,hawana uhalali wa kutwaa madaraka hata wangeshinda kwa asilimia 99.9
 
Shida sio spika, shida ni chama anachotokea spika.
Kumbuka Mr Six alivyojitambua kuleta usawa na haki ya mawazo hakurudi tena.
Ideology za CCM ni za ujamaa bin Socialist baba yake communist.
CCM haiamini katika uhuru wa mawazo bali matakwa ya politburo yaani Central Committee.
CCM ina amini kutawala nchi kwa miaka elfu mmoja kwa namna yoyote.
CCM inavichukulia vyama vya upinzani sawa na wavamizi kisiasa,hawana uhalali wa kutwa madaraka hata wangeshinda kwa asilimia 99.9

..Samuel Sitta na kundi lake nia yao ilikuwa siyo kuisimamia serikali.

..wao walikuwa ktk vita ya kusaka Uraisi dhidi ya hasimu wao Edward Lowassa.

..rangi halisi ya Samuel Sitta ilijitokeza waziwazi wakati wa bunge maalum la katiba.
 
Bunge la sasa ndio linamaliza muda wake na linategemewa kuvunjwa rasmi mwezi June panapo majaliwa.

Tumeshuhudia bunge hili likipoteza wabunge wengi kwa kufukuzwa na huenda likawa limeweka historia ya nahodha kuwatosa mabaharia baharini.

Yote kwa yote maisha bado yanaendelea baada ya siasa.

Leo natoa tu angalizo kwa bunge lijalo bila kujali Spika atakuwa Zungu, Chenge au Tulia, kwamba chonde chonde bunge ni mali ya wananchi.

Uongozi ni dhamana tu sisi wananchi tunataka wabunge wote wapate haki kwa usawa, tena walindwe na kuongozwa vyema mbunge kufukuzwa liwe ni swala la mchakato na siyo uamuzi wa mtu mmoja mnatutia hasara walipa kodi.

Spika siyo Nabii au mtume anayemiliki Huduma ya kichungaji ambaye yeye ni alpha na omega bali Spika ni mtumishi wa wananchi.

Mwenye enzi Mungu alibariki bunge lijalo.

Maendeleo hayana vyama!
Umekuwa Je leo Mzee ?!.
Ulikula chakula gani !!. Mwambie arudie kukipika huwenda sasa ukawa Yohana mbatizaji, bila shaka Unajua kifo chake kilotokana na kusema ukweli .



Odhis *
 
Ukipata nafasi angalia vifungu hivi vya katiba utumwa wa binge LA jmt na wabunge wake
 
Ng'ombe huyu yupo kwa ajili ya kutetea maovu yote ya serikali sio watz
 
Bunge la sasa ndio linamaliza muda wake na linategemewa kuvunjwa rasmi mwezi June panapo majaliwa.

Tumeshuhudia bunge hili likipoteza wabunge wengi kwa kufukuzwa na huenda likawa limeweka historia ya nahodha kuwatosa mabaharia baharini.

Yote kwa yote maisha bado yanaendelea baada ya siasa.

Leo natoa tu angalizo kwa bunge lijalo bila kujali Spika atakuwa Zungu, Chenge au Tulia, kwamba chonde chonde bunge ni mali ya wananchi.

Uongozi ni dhamana tu sisi wananchi tunataka wabunge wote wapate haki kwa usawa, tena walindwe na kuongozwa vyema mbunge kufukuzwa liwe ni swala la mchakato na siyo uamuzi wa mtu mmoja mnatutia hasara walipa kodi.

Spika siyo Nabii au mtume anayemiliki Huduma ya kichungaji ambaye yeye ni alpha na omega bali Spika ni mtumishi wa wananchi.

Mwenye enzi Mungu alibariki bunge lijalo.

Maendeleo hayana vyama!
Mkuu 'johnthebabtist'

Mimi siandiki chochote juu ya mada uliyoileta hapa ili ijadiliwe,kwa sababu sioni cha zaidi ninachoweza kuongezea juu yake.

Mada imejitosheleza kabisa.

Na hapo ndipo panaponitatiza kabisa, nikatamani nijue hasa wewe ni mtu wa aina gani. Unasimamia wapi hasa!

Ni kama tunao 'johnthebabtist' kadhaa humu ndani ya JF hii.

Ninampongeza sana 'johnthebabtist' huyu wa leo aliyeweka mada yenye nguvu kama hii. Tunawahitaji sana hawa, hasa nyakati hizi zenye majaribu makubwa juu ya taifa letu.
 
Rais aliwahi mwambia kwenye tukio moja pale Ikulu,washughulikie huko Bungeni,wakija huku yeye atawashughulikia.
Tuna Spika wa ajabu sana kuwahi kutokea .
Mkuu wa mhimili anapewa maagizo kama mtoto mdogo.
Bunge lijalo ni la chama kimoja.
Spika ajaye anajulikana, na tabia zake zinajulikana.
 
Bunge la sasa ndio linamaliza muda wake na linategemewa kuvunjwa rasmi mwezi June panapo majaliwa.

Tumeshuhudia bunge hili likipoteza wabunge wengi kwa kufukuzwa na huenda likawa limeweka historia ya nahodha kuwatosa mabaharia baharini.

Yote kwa yote maisha bado yanaendelea baada ya siasa.

Leo natoa tu angalizo kwa bunge lijalo bila kujali Spika atakuwa Zungu, Chenge au Tulia, kwamba chonde chonde bunge ni mali ya wananchi.

Uongozi ni dhamana tu sisi wananchi tunataka wabunge wote wapate haki kwa usawa, tena walindwe na kuongozwa vyema mbunge kufukuzwa liwe ni swala la mchakato na siyo uamuzi wa mtu mmoja mnatutia hasara walipa kodi.

Spika siyo Nabii au mtume anayemiliki Huduma ya kichungaji ambaye yeye ni alpha na omega bali Spika ni mtumishi wa wananchi.

Mwenye enzi Mungu alibariki bunge lijalo.

Maendeleo hayana vyama!
Nimegundua watu wanapenda nchi yao kuliko vyama vyao vya siasa, wanapenda amani bila chuki baina ya watanzania wote, hawafurahishwi na watawala kuonea wapinzani ila wanashindwa kutoa ya moyoni. Hongera johnthebaptist.
 
Yatakuwa yamekukumbuka au yanaelekea kumkumba aliye karibu nawe, pole sana mbatizaji, mbna hujasema pia Tanzania hii ni ya vyama vyote na si ya chama ki....
Kila nikikumbuka kufukuzwa kwa Antipas......hakika Mungu atahukumu kwa haki!
 
mleta mada umeleta mada nzuri, lakini wanainchi wengi wanafeli kwenye jambo moja la msingi. Na hili ni kutojitambua wao ni nani au wananafasi gani baada ya kumchugua kiongozi. Wanainchi wengi wanadhani wakishachagua kiongozi kazi yao imekwisha, na kwamba wamechagua malaika ambae hawatakiwi kumfatilia kujua kama anawajibika na vile walivyokuwa wamekusudia. Wengi wanaamini huyo malaika atawatendea yaliyo mazuri na mema. Nao hao viongozi wanalijua hili ndio mana tuna miungu watu wenye kuamini wanawezafanya lolote na kamwe hawawezi kuhojiwa na mtu yeyote
 
Back
Top Bottom