Bunge si Jumba la Sanaa, ni mahali Patakatifu Kisiasa katika ukombozi wa mawazo ya mnyonge

Deogratias Mutungi

Senior Member
Oct 1, 2019
137
179
Salaam Wana JF,

Nianze kwa kusema kuwa wale wanaodhani Bunge letu ni Jumba la Sanaa wanakosea kimantiki na pengine hawajui Majukumu ya Mhimili huu na mipaka yake, Bunge lina utakatifu wake na upekee katika ustawi wa haki na Maendeleo kwa watu, Bunge Ni moyo wa nchi kiutawala.

Hatahivyo Kwa siku za hivi karibuni kumekuwepo na wimbi la wakosoaji hasa mitandaoni wanaohoji ubora na Uimara wa Bunge letu la Sasa, wapo wanaodhani Bunge limepoteza utamu na Radha kwa sababu ya uwepo wa wabunge wengi wa Chama kimoja, hoja hii ni dhaifu kwasababu wingi wa wabunge hao umetokana na Wananchi kupitia mfumo wa sanduku la Kura unaosimama katika mfumo wa vyama vingi.

Tunaweza kuhoji ubora wa Bunge endapo tu wawakilishi wa Wananchi wameshindwa kutimiza wajibu wao, Aidha tunaweza kuwa na mashaka na Bunge endapo tu Bunge lenyewe kupitia taratibu na kanuni zake kama muhimili unaojitegemea umeshindwa kuishauri ipasavyo serikali kutimiza wajibu wake katika mifumo ya utawala, uwajibikaji na uongozi bora.

Je, kama Bunge hili la Job Ndugai limeweza kuwa sehemu ya kutimiza wajibu wake kama Bunge la Wananchi nongwa inatoka wapi? Wapo wanaobeza weledi wa Spika Job Ndugai katika kusimamia chombo hiki, Ukweli ni kuwa Ndugai amefanikiwa na kuonyesha uwezo, weledi na nia ya kulitumikia Bunge kwa usawa, utashi na uzalendo kwa Watanzania wote.

Aidha sijaona tatizo la Bunge letu la sasa kwa ujumla wake, tusihukumu mhimili wa Bunge kwa sababu ya mawazo ya mbunge mmoja ambayo pengine yanamapungufu yake kimaudhui, Duniani kote Kila Bunge lina mifumo na taratibu zake kulingana na kanuni walizojiwekea na kamwe mifumo ya kiutawala haiwezi kuwa sawa Wala Demokrasia tunayoidai haiwezi kufanana kati ya taifa na taifa.

Ni vema tukosoe kwa kujenga hoja mbadala na si kubeza na kutusi, Aidha tutambue Bunge letu ni imara na linaendeshwa kwa mujibu wa taratibu na kanuni zake na Wala si Jumba la Sanaa Kama wengi wanavyoamini.

Deogratias Mutungi​
 
Pole ndugu sio kwa bunge hili, lililo jaaa HARAMU na DHURUMA dhidi ya Watanganyika

Bunge linazidiwa Ubora na DANGULO la MAKAHABA.
Haramu na kufuru kubwa kuliita bunge la Ndugai TUKUFU.
Alafu Kuna Mataga wanakuambia eti I kao Cha CCM ni imara
Je hayo ndiyo mawazo na kero za wananchi walizowatuma.
 
1) Wabunge hawa si kweli wametokana na kura za wananchi bali kwa ghilba na wizi wa wazi wazi wa kura

2) Hakuna weledi wowote unaonyeshwa na aidha spika au wabunge hao wa CCM.

3)Mbunge kutumia muda wake wa kutoa mchango wa maana kwa taifa ana utumia kutuhadithia tamthilia ya ndege, flyover,sti stiegllers Gorge na SGR ambayo tunaisikia kila siku toka kwa Magu na walamba viatu vyake

4) Tutajie sheria au ushauri wowote uliotokana na wabunge na sio serikali ukakubaliwa.

5) Bunge hili ni useless rubber stamp.
 
Salaam Wana JF,

Nianze kwa kusema kuwa wale wanaodhani Bunge letu ni Jumba la Sanaa wanakosea kimantiki na pengine hawajui Majukumu ya Mhimili huu na mipaka yake, Bunge lina utakatifu wake na upekee katika ustawi wa haki na Maendeleo kwa watu, Bunge Ni moyo wa nchi kiutawala.

Hatahivyo Kwa siku za hivi karibuni kumekuwepo na wimbi la wakosoaji hasa mitandaoni wanaohoji ubora na Uimara wa Bunge letu la Sasa, wapo wanaodhani Bunge limepoteza utamu na Radha kwa sababu ya uwepo wa wabunge wengi wa Chama kimoja, hoja hii ni dhaifu kwasababu wingi wa wabunge hao umetokana na Wananchi kupitia mfumo wa sanduku la Kura unaosimama katika mfumo wa vyama vingi.

Tunaweza kuhoji ubora wa Bunge endapo tu wawakilishi wa Wananchi wameshindwa kutimiza wajibu wao, Aidha tunaweza kuwa na mashaka na Bunge endapo tu Bunge lenyewe kupitia taratibu na kanuni zake kama muhimili unaojitegemea umeshindwa kuishauri ipasavyo serikali kutimiza wajibu wake katika mifumo ya utawala, uwajibikaji na uongozi bora.

Je, kama Bunge hili la Job Ndugai limeweza kuwa sehemu ya kutimiza wajibu wake kama Bunge la Wananchi nongwa inatoka wapi? Wapo wanaobeza weledi wa Spika Job Ndugai katika kusimamia chombo hiki, Ukweli ni kuwa Ndugai amefanikiwa na kuonyesha uwezo, weledi na nia ya kulitumikia Bunge kwa usawa, utashi na uzalendo kwa Watanzania wote.

Aidha sijaona tatizo la Bunge letu la sasa kwa ujumla wake, tusihukumu mhimili wa Bunge kwa sababu ya mawazo ya mbunge mmoja ambayo pengine yanamapungufu yake kimaudhui, Duniani kote Kila Bunge lina mifumo na taratibu zake kulingana na kanuni walizojiwekea na kamwe mifumo ya kiutawala haiwezi kuwa sawa Wala Demokrasia tunayoidai haiwezi kufanana kati ya taifa na taifa.

Ni vema tukosoe kwa kujenga hoja mbadala na si kubeza na kutusi, Aidha tutambue Bunge letu ni imara na linaendeshwa kwa mujibu wa taratibu na kanuni zake na Wala si Jumba la Sanaa Kama wengi wanavyoamini.

Deogratias Mutungi​
Je Ibara ya 63 ya KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA YA 1977 inatekelezwa na Bunge lako?
 
RUBBISH!
Salaam Wana JF,

Nianze kwa kusema kuwa wale wanaodhani Bunge letu ni Jumba la Sanaa wanakosea kimantiki na pengine hawajui Majukumu ya Mhimili huu na mipaka yake, Bunge lina utakatifu wake na upekee katika ustawi wa haki na Maendeleo kwa watu, Bunge Ni moyo wa nchi kiutawala.

Hatahivyo Kwa siku za hivi karibuni kumekuwepo na wimbi la wakosoaji hasa mitandaoni wanaohoji ubora na Uimara wa Bunge letu la Sasa, wapo wanaodhani Bunge limepoteza utamu na Radha kwa sababu ya uwepo wa wabunge wengi wa Chama kimoja, hoja hii ni dhaifu kwasababu wingi wa wabunge hao umetokana na Wananchi kupitia mfumo wa sanduku la Kura unaosimama katika mfumo wa vyama vingi.

Tunaweza kuhoji ubora wa Bunge endapo tu wawakilishi wa Wananchi wameshindwa kutimiza wajibu wao, Aidha tunaweza kuwa na mashaka na Bunge endapo tu Bunge lenyewe kupitia taratibu na kanuni zake kama muhimili unaojitegemea umeshindwa kuishauri ipasavyo serikali kutimiza wajibu wake katika mifumo ya utawala, uwajibikaji na uongozi bora.

Je, kama Bunge hili la Job Ndugai limeweza kuwa sehemu ya kutimiza wajibu wake kama Bunge la Wananchi nongwa inatoka wapi? Wapo wanaobeza weledi wa Spika Job Ndugai katika kusimamia chombo hiki, Ukweli ni kuwa Ndugai amefanikiwa na kuonyesha uwezo, weledi na nia ya kulitumikia Bunge kwa usawa, utashi na uzalendo kwa Watanzania wote.

Aidha sijaona tatizo la Bunge letu la sasa kwa ujumla wake, tusihukumu mhimili wa Bunge kwa sababu ya mawazo ya mbunge mmoja ambayo pengine yanamapungufu yake kimaudhui, Duniani kote Kila Bunge lina mifumo na taratibu zake kulingana na kanuni walizojiwekea na kamwe mifumo ya kiutawala haiwezi kuwa sawa Wala Demokrasia tunayoidai haiwezi kufanana kati ya taifa na taifa.

Ni vema tukosoe kwa kujenga hoja mbadala na si kubeza na kutusi, Aidha tutambue Bunge letu ni imara na linaendeshwa kwa mujibu wa taratibu na kanuni zake na Wala si Jumba la Sanaa Kama wengi wanavyoamini.

Deogratias Mutungi​
 
Salaam Wana JF,

Nianze kwa kusema kuwa wale wanaodhani Bunge letu ni Jumba la Sanaa wanakosea kimantiki na pengine hawajui Majukumu ya Mhimili huu na mipaka yake, Bunge lina utakatifu wake na upekee katika ustawi wa haki na Maendeleo kwa watu, Bunge Ni moyo wa nchi kiutawala.

Hatahivyo Kwa siku za hivi karibuni kumekuwepo na wimbi la wakosoaji hasa mitandaoni wanaohoji ubora na Uimara wa Bunge letu la Sasa, wapo wanaodhani Bunge limepoteza utamu na Radha kwa sababu ya uwepo wa wabunge wengi wa Chama kimoja, hoja hii ni dhaifu kwasababu wingi wa wabunge hao umetokana na Wananchi kupitia mfumo wa sanduku la Kura unaosimama katika mfumo wa vyama vingi.

Tunaweza kuhoji ubora wa Bunge endapo tu wawakilishi wa Wananchi wameshindwa kutimiza wajibu wao, Aidha tunaweza kuwa na mashaka na Bunge endapo tu Bunge lenyewe kupitia taratibu na kanuni zake kama muhimili unaojitegemea umeshindwa kuishauri ipasavyo serikali kutimiza wajibu wake katika mifumo ya utawala, uwajibikaji na uongozi bora.

Je, kama Bunge hili la Job Ndugai limeweza kuwa sehemu ya kutimiza wajibu wake kama Bunge la Wananchi nongwa inatoka wapi? Wapo wanaobeza weledi wa Spika Job Ndugai katika kusimamia chombo hiki, Ukweli ni kuwa Ndugai amefanikiwa na kuonyesha uwezo, weledi na nia ya kulitumikia Bunge kwa usawa, utashi na uzalendo kwa Watanzania wote.

Aidha sijaona tatizo la Bunge letu la sasa kwa ujumla wake, tusihukumu mhimili wa Bunge kwa sababu ya mawazo ya mbunge mmoja ambayo pengine yanamapungufu yake kimaudhui, Duniani kote Kila Bunge lina mifumo na taratibu zake kulingana na kanuni walizojiwekea na kamwe mifumo ya kiutawala haiwezi kuwa sawa Wala Demokrasia tunayoidai haiwezi kufanana kati ya taifa na taifa.

Ni vema tukosoe kwa kujenga hoja mbadala na si kubeza na kutusi, Aidha tutambue Bunge letu ni imara na linaendeshwa kwa mujibu wa taratibu na kanuni zake na Wala si Jumba la Sanaa Kama wengi wanavyoamini.

Deogratias Mutungi​

Ni bunge kibogoyo fullstop.
 
Salaam Wana JF,

Nianze kwa kusema kuwa wale wanaodhani Bunge letu ni Jumba la Sanaa wanakosea kimantiki na pengine hawajui Majukumu ya Mhimili huu na mipaka yake, Bunge lina utakatifu wake na upekee katika ustawi wa haki na Maendeleo kwa watu, Bunge Ni moyo wa nchi kiutawala.

Hatahivyo Kwa siku za hivi karibuni kumekuwepo na wimbi la wakosoaji hasa mitandaoni wanaohoji ubora na Uimara wa Bunge letu la Sasa, wapo wanaodhani Bunge limepoteza utamu na Radha kwa sababu ya uwepo wa wabunge wengi wa Chama kimoja, hoja hii ni dhaifu kwasababu wingi wa wabunge hao umetokana na Wananchi kupitia mfumo wa sanduku la Kura unaosimama katika mfumo wa vyama vingi.

Tunaweza kuhoji ubora wa Bunge endapo tu wawakilishi wa Wananchi wameshindwa kutimiza wajibu wao, Aidha tunaweza kuwa na mashaka na Bunge endapo tu Bunge lenyewe kupitia taratibu na kanuni zake kama muhimili unaojitegemea umeshindwa kuishauri ipasavyo serikali kutimiza wajibu wake katika mifumo ya utawala, uwajibikaji na uongozi bora.

Je, kama Bunge hili la Job Ndugai limeweza kuwa sehemu ya kutimiza wajibu wake kama Bunge la Wananchi nongwa inatoka wapi? Wapo wanaobeza weledi wa Spika Job Ndugai katika kusimamia chombo hiki, Ukweli ni kuwa Ndugai amefanikiwa na kuonyesha uwezo, weledi na nia ya kulitumikia Bunge kwa usawa, utashi na uzalendo kwa Watanzania wote.

Aidha sijaona tatizo la Bunge letu la sasa kwa ujumla wake, tusihukumu mhimili wa Bunge kwa sababu ya mawazo ya mbunge mmoja ambayo pengine yanamapungufu yake kimaudhui, Duniani kote Kila Bunge lina mifumo na taratibu zake kulingana na kanuni walizojiwekea na kamwe mifumo ya kiutawala haiwezi kuwa sawa Wala Demokrasia tunayoidai haiwezi kufanana kati ya taifa na taifa.

Ni vema tukosoe kwa kujenga hoja mbadala na si kubeza na kutusi, Aidha tutambue Bunge letu ni imara na linaendeshwa kwa mujibu wa taratibu na kanuni zake na Wala si Jumba la Sanaa Kama wengi wanavyoamini.

Deogratias Mutungi​
Bunge la awamu ya meko halina tofauti wodi ya vichaa,bunge limebaki kusifia,kupongezana,kujisifia...hujaona waziri wa afya badala aeleze wananchi umihimu wa kujikinga na corona,yeye anamsifia muwewe sijui mwanasheria msomi.
Tegemea siku utasikia wanasifiana kulana chumbani,bunge letu la hovyo dunia nzima

Hao ndio wabunge wako wamekata vitunguu limao,tangawise hapo mezani kua hiyo ndio tiba ya corona
tapatalk_1612397829016.jpeg
 
Salaam Wana JF,

Nianze kwa kusema kuwa wale wanaodhani Bunge letu ni Jumba la Sanaa wanakosea kimantiki na pengine hawajui Majukumu ya Mhimili huu na mipaka yake, Bunge lina utakatifu wake na upekee katika ustawi wa haki na Maendeleo kwa watu, Bunge Ni moyo wa nchi kiutawala.

Hatahivyo Kwa siku za hivi karibuni kumekuwepo na wimbi la wakosoaji hasa mitandaoni wanaohoji ubora na Uimara wa Bunge letu la Sasa, wapo wanaodhani Bunge limepoteza utamu na Radha kwa sababu ya uwepo wa wabunge wengi wa Chama kimoja, hoja hii ni dhaifu kwasababu wingi wa wabunge hao umetokana na Wananchi kupitia mfumo wa sanduku la Kura unaosimama katika mfumo wa vyama vingi.

Tunaweza kuhoji ubora wa Bunge endapo tu wawakilishi wa Wananchi wameshindwa kutimiza wajibu wao, Aidha tunaweza kuwa na mashaka na Bunge endapo tu Bunge lenyewe kupitia taratibu na kanuni zake kama muhimili unaojitegemea umeshindwa kuishauri ipasavyo serikali kutimiza wajibu wake katika mifumo ya utawala, uwajibikaji na uongozi bora.

Je, kama Bunge hili la Job Ndugai limeweza kuwa sehemu ya kutimiza wajibu wake kama Bunge la Wananchi nongwa inatoka wapi? Wapo wanaobeza weledi wa Spika Job Ndugai katika kusimamia chombo hiki, Ukweli ni kuwa Ndugai amefanikiwa na kuonyesha uwezo, weledi na nia ya kulitumikia Bunge kwa usawa, utashi na uzalendo kwa Watanzania wote.

Aidha sijaona tatizo la Bunge letu la sasa kwa ujumla wake, tusihukumu mhimili wa Bunge kwa sababu ya mawazo ya mbunge mmoja ambayo pengine yanamapungufu yake kimaudhui, Duniani kote Kila Bunge lina mifumo na taratibu zake kulingana na kanuni walizojiwekea na kamwe mifumo ya kiutawala haiwezi kuwa sawa Wala Demokrasia tunayoidai haiwezi kufanana kati ya taifa na taifa.

Ni vema tukosoe kwa kujenga hoja mbadala na si kubeza na kutusi, Aidha tutambue Bunge letu ni imara na linaendeshwa kwa mujibu wa taratibu na kanuni zake na Wala si Jumba la Sanaa Kama wengi wanavyoamini.

Deogratias Mutungi​
Shetani mwingine huyu hapa.

Lazima uwe mwendawazimu kweli kuamini kwamba Tanzania tuna Bunge. Bunge la Tanzania, katiba inaeleza jinsi wabunge wake wanavyopatikana, siyo kwa ule ujinga wa mwakajana wa mtu mmoja kuwabandika watu anaowataka yeye wawe wabunge.

Hilo linaloitwa Bunge la Tanzania, ni uchafu, ni alama ya shetani maana ni zao la matendo ya kishetani. Kila mwenye Roho wa Mungu, alipuuze, alidharau, na kulilaani. Halina baraka mbele za Mungu wala wanadamu.
 
Salaam Wana JF,

Nianze kwa kusema kuwa wale wanaodhani Bunge letu ni Jumba la Sanaa wanakosea kimantiki na pengine hawajui Majukumu ya Mhimili huu na mipaka yake, Bunge lina utakatifu wake na upekee katika ustawi wa haki na Maendeleo kwa watu, Bunge Ni moyo wa nchi kiutawala.

Hatahivyo Kwa siku za hivi karibuni kumekuwepo na wimbi la wakosoaji hasa mitandaoni wanaohoji ubora na Uimara wa Bunge letu la Sasa, wapo wanaodhani Bunge limepoteza utamu na Radha kwa sababu ya uwepo wa wabunge wengi wa Chama kimoja, hoja hii ni dhaifu kwasababu wingi wa wabunge hao umetokana na Wananchi kupitia mfumo wa sanduku la Kura unaosimama katika mfumo wa vyama vingi.

Tunaweza kuhoji ubora wa Bunge endapo tu wawakilishi wa Wananchi wameshindwa kutimiza wajibu wao, Aidha tunaweza kuwa na mashaka na Bunge endapo tu Bunge lenyewe kupitia taratibu na kanuni zake kama muhimili unaojitegemea umeshindwa kuishauri ipasavyo serikali kutimiza wajibu wake katika mifumo ya utawala, uwajibikaji na uongozi bora.

Je, kama Bunge hili la Job Ndugai limeweza kuwa sehemu ya kutimiza wajibu wake kama Bunge la Wananchi nongwa inatoka wapi? Wapo wanaobeza weledi wa Spika Job Ndugai katika kusimamia chombo hiki, Ukweli ni kuwa Ndugai amefanikiwa na kuonyesha uwezo, weledi na nia ya kulitumikia Bunge kwa usawa, utashi na uzalendo kwa Watanzania wote.

Aidha sijaona tatizo la Bunge letu la sasa kwa ujumla wake, tusihukumu mhimili wa Bunge kwa sababu ya mawazo ya mbunge mmoja ambayo pengine yanamapungufu yake kimaudhui, Duniani kote Kila Bunge lina mifumo na taratibu zake kulingana na kanuni walizojiwekea na kamwe mifumo ya kiutawala haiwezi kuwa sawa Wala Demokrasia tunayoidai haiwezi kufanana kati ya taifa na taifa.

Ni vema tukosoe kwa kujenga hoja mbadala na si kubeza na kutusi, Aidha tutambue Bunge letu ni imara na linaendeshwa kwa mujibu wa taratibu na kanuni zake na Wala si Jumba la Sanaa Kama wengi wanavyoamini.

Deogratias Mutungi​
Ninyi waleta mada wengine basi tu kwa kweli.Baba wa Taifa alisema mtu akikutuma jambo uliwasilishe ilhali aliyekutuma jambo hilo anajua kwamba amekutuma jambo la kijinga,Basi wewe uliyewasilisha jambo la kijinga ni zuzu.kwa waswahili mtatuambia zuzu ni mtu wa aina gani.
 
Back
Top Bottom