Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Ukitafakari kwa kina utaona hakuna umuhimu wa ripoti ya CAG kupelekwa Bungeni. Spika wa Bunge amekuwa mtu wa Kwanza kudharau kazi ya CAG ambayo wapo wataalamu wanalipwa kuifanya.
Aliikataa bila sababu za msingi ripoti ya Prof. Assad CAG mstaafu na leo ameonyesha wazi kutokubaliana na ripoti ya Sasa ya CAG.
Namna alivyozielekeza kamati za bunge zikachambue hii ripoti ni kama kaonyesha kabisa kwamba ana mtizamo hasi dhidi ya ripoti hii huku akidai Kuna watu wanapotosha.
Kwa aina hii ya viongozi ambao kwao kila Jambo analifanya Jambo binafsi badala ya Jambo la umma nivigumu kwa taarifa hizi kufanyiwa kazi.
CAG ameeleza kwenye taarifa zake kuwa moja ya changamoto anayokabiliana nayo ni mapendekezo ya taarifa za ukaguzi kutofanyiwa kazi na serikali.
Je, kwa mfumo huu Kuna umuhimu wakuwa na ofisi ya CAG? Kuna umuhimu wakutumia mabilioni kuwalipa watu ambao kazi zao hazifanyiwi kazi? Kwanini tunafanya ukaguzi?
Aliikataa bila sababu za msingi ripoti ya Prof. Assad CAG mstaafu na leo ameonyesha wazi kutokubaliana na ripoti ya Sasa ya CAG.
Namna alivyozielekeza kamati za bunge zikachambue hii ripoti ni kama kaonyesha kabisa kwamba ana mtizamo hasi dhidi ya ripoti hii huku akidai Kuna watu wanapotosha.
Kwa aina hii ya viongozi ambao kwao kila Jambo analifanya Jambo binafsi badala ya Jambo la umma nivigumu kwa taarifa hizi kufanyiwa kazi.
CAG ameeleza kwenye taarifa zake kuwa moja ya changamoto anayokabiliana nayo ni mapendekezo ya taarifa za ukaguzi kutofanyiwa kazi na serikali.
Je, kwa mfumo huu Kuna umuhimu wakuwa na ofisi ya CAG? Kuna umuhimu wakutumia mabilioni kuwalipa watu ambao kazi zao hazifanyiwi kazi? Kwanini tunafanya ukaguzi?