chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
Wabunge mnachaguliwa ili muwatumikie wananchi mnajipendekeza kwa mawaziri tu.
Zitto kaanzisha hoja ya kuwaondoa nyie mnakwepa kwepa tu ,sasa kwa maendeleo ya nchi kuwa nyuma Bunge ndo lilaumiwe siyo serikali maana wabunge ndo wanaoilinda tu.
Wenyeviti na Manaibu weneviti wa kamati zote za Bunge + wajumbe wachache wanatosha kutia saini 70 lakini wanakwepa na kulalama .
Wabunge Jamani tupeni maendeleo kwa kutia saini
Zitto kaanzisha hoja ya kuwaondoa nyie mnakwepa kwepa tu ,sasa kwa maendeleo ya nchi kuwa nyuma Bunge ndo lilaumiwe siyo serikali maana wabunge ndo wanaoilinda tu.
Wenyeviti na Manaibu weneviti wa kamati zote za Bunge + wajumbe wachache wanatosha kutia saini 70 lakini wanakwepa na kulalama .
Wabunge Jamani tupeni maendeleo kwa kutia saini