Tetesi: Bunge Live: Wanataka kujikosha ili Nape pekee aonekane ndiye aliyewasaliti wananchi

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Kuna mkakati unafanywa ukiwahusisha viongozi wa CCM kumshawishi Rais aruhusu bunge live, sababu wanazojenga ni kuwa wananchi hawawaoni wala kuwasikia wawakilishi wao wanapo elezea mazuri yanayofanywa na Rais wao mpenzi wawapo bungeni.

Kinachotafutwa ni jinsi gani watajitoa katika hili bila kumuathiri Rais ambaye ndiye aliagiza kufutwa kwa bunge live.

Mkakati uliopo ni kum brand Nape kuwa ndiye alikuwa tatizo, itaandaliwa press conference ambapo Rais atatangaza kuwa amepokea maombi mbalimbali kutoka kwa wananchi na amekubali kurushwa kwa bunge live, credit zote zitaenda kwake na maandamano ya kumpongeza yataandaliwa huku Nape akionekana kama msaliti wa wananchi.
 
Kwa hiyo Nape ameambiwa aende kwenye media na kusema kuwa yeye ndiye alikuwa tatizo!

Yaani mtu mwenye akili timamu anasema mimi ndiye niliua halafu mtu mwingine anajitokeza na kusema huyu anayesema aliua hajaua bali anafanya propaganda na wanataka kum-brand kuwa aliua wakati muuwaji ni mtu mwingine!

Hizi ni fikra za kijinga ambazo huyo mjinga hajui kama ni mjinga.

Dhana ya kusema kuzuia bunge live amewasaliti wananchi ni relative kwa sababu kila mwananchi ana mtazamo na hisia zake kuhusu uamuzi.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwa hiyo Nape ameambiwa aende kwenye media na kusema kuwa yeye ndiye alikuwa tatizo!

Yaani mtu anasema mimi ndiye niliua halafu mtu mwingine anajitokeza na kusema huyu anayesema aliua wanataka kum-brand kuwa aliua wakati muuwaji ni mtu mwingine!

Hizi ni fikra za kijinga ambazo huyo mjinga hajui kama ni mjinga.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Hujaelewa kilichoandikwa, anasema kunaundwa mkakati wa kuonyesha kwamba aliyezuiwa bunge Live sio Magufuli bali ni Nape. Na zitapigwa propaganda nyingi kumsafisha rais, lakini ukweli ni kuwa aliyezuia hilo bunge live ni Magufuli kwani anajua serekali na wabunge wake wana uwezo mdogo, hivyo njia ya kubaki salama ilikuwa kuzuia bunge live.
 
Hujaelewa kilichoandikwa, anasema kunaundwa mkakati wa kuonyesha kwamba aliyezuiwa bunge Live sio Magufuli bali ni Nape. Na zitapigwa propaganda nyingi kumsafisha rais, lakini ukweli ni kuwa aliyezuia hilo bunge live ni Magufuli kwani anajua serekali na wabunge wake wana uwezo mdogo, hivyo njia ya kubaki salama ilikuwa kuzuia bunge live.
Anajua nilichomaanisha ila anajifanya hajui, ndio maana nimemwambia aache bange.
 
Kwa hiyo Nape ameambiwa aende kwenye media na kusema kuwa yeye ndiye alikuwa tatizo!

Yaani mtu anasema mimi ndiye niliua halafu mtu mwingine anajitokeza na kusema huyu anayesema aliua wanataka kum-brand kuwa aliua wakati muuwaji ni mtu mwingine!

Hizi ni fikra za kijinga ambazo huyo mjinga hajui kama ni mjinga.

Dhana ya kusema amewasaliti wananchi ni relative.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwamba waziri anaweza kujiamulia jambo kubwa kama lile bila kuwa na baraka za baraza na Rais?,au unataka kusemaje mkuu,nape aliamka tu asubuhi moja akaamua kusitisha urushwaji live wa bunge sio?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujaelewa kilichoandikwa, anasema kunaundwa mkakati wa kuonyesha kwamba aliyezuiwa bunge Live sio Magufuli bali ni Nape. Na zitapigwa propaganda nyingi kumsafisha rais, lakini ukweli ni kuwa aliyezuia hilo bunge live ni Magufuli kwani anajua serekali na wabunge wake wana uwezo mdogo, hivyo njia ya kubaki salama ilikuwa kuzuia bunge live.
Kwa hiyo kwa akili yako Nape anapiga propaganda kwenye media kumsafisha Rais!

Tumia hata maarifa ya kawaida kujua ulichoandika ni hakiwezekani.

Huwa nakuona kidogo una logic katika kujenga hoja lakini kwa hoja tako hii inanifanya niwe na mashaka!
 
Kwa hiyo kwa akili yako Nape anapiga propaganda kwenye media kumsafisha Rais!

Tumia hata maarifa ya kawaida kujua ulichoandika ni hakiwezekani.

Huwa nakuona kidogo una logic katika kujenga hoja lakini kwa hoja tako hii inanifanya niwe na mashaka!
Pombe za wikendi mbaya sana hasa zikiwa za offer, nani kasema Nape anapiga propaganda.
 
Kwamba waziri anaweza kujiamulia jambo kubwa kama lile bila kuwa na baraka za baraza na Rais?,au unataka kusemaje mkuu,nape aliamka tu asubuhi moja akaamua kusitisha urushwaji live wa bunge sio?.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukubwa ni relative.

Kile unachodhani kikubwa kuna mwingine anadhani ni kidogo.

Hoja ya kusema kujiamulia au hapana ameishaijibu Nape katika mahojiano CLOUDS.

Sasa kama hukubali alichokisema hilo ni tatizo lako.

Ndio maana nimesema, mtu mwenye akili timamu anajitokeza na kusema ni yeye ameua halafu wewe unakataa na kudai sio yeye huoni kuwa utaonekana ni kutuko au una matatizo kifikra mbele ya watu wenye akili timamu!
 
Kwa hiyo Nape ameambiwa aende kwenye media na kusema kuwa yeye ndiye alikuwa tatizo!

Yaani mtu anasema mimi ndiye niliua halafu mtu mwingine anajitokeza na kusema huyu anayesema aliua wanataka kum-brand kuwa aliua wakati muuwaji ni mtu mwingine!

Hizi ni fikra za kijinga ambazo huyo mjinga hajui kama ni mjinga.

Dhana ya kusema amewasaliti wananchi ni relative.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Msemaji uongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo kwa akili yako Nape anapiga propaganda kwenye media kumsafisha Rais!

Tumia hata maarifa ya kawaida kujua ulichoandika ni hakiwezekani.

Huwa nakuona kidogo una logic katika kujenga hoja lakini kwa hoja tako hii inanifanya niwe na mashaka!

Ni hivi Magufuli ndiye aliyepiga marufuku bunge live, huyo Nape ni mfamaji fullstop.
 
Inamaana wanatengeneza tatizo na kukisawazisha
Hujaelewa kilichoandikwa, anasema kunaundwa mkakati wa kuonyesha kwamba aliyezuiwa bunge Live sio Magufuli bali ni Nape. Na zitapigwa propaganda nyingi kumsafisha rais, lakini ukweli ni kuwa aliyezuia hilo bunge live ni Magufuli kwani anajua serekali na wabunge wake wana uwezo mdogo, hivyo njia ya kubaki salama ilikuwa kuzuia bunge live.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchaguzi umekaribia wanaanza kunawa,watapiga sana pushup safari hii
Mnasahau kuwa kila siku mnasema hawashindi uchaguzi bali wanaiba kura wakisaidiwa na Polisi.

Sasa pushup za nini wakati kuna polisi na wizi wa kura?

Hoja zenu za uchaguzi ni fyongo!

Hapo hapo mnadai hawashindi bali wanaiba halafu tena mnadai wana wasiwasi na uchaguzi ujao.

Remember. You can't have your cake and eat it!



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ukubwa ni relative.

Kile unachodhani kikubwa kuna mwingine anadhani ni kidogo.

Hoja ya kusema kujiamulia au hapana ameishaijibu Nape katika mahojiano CLOUDS.

Sasa kama hukubali alichokisema hilo ni tatizo lako.

Ndio maana nimesema, mtu mwenye akili timamu anajitokeza na kusema ni yeye ameua halafu wewe unakataa na kudai sio yeye.

Kwa Africa madaraka ndio sehemu ya kufanya watu kuachana na umasikini, usishangae mtu kusema uongo wa wazi ili kubaki na madaraka. Kutokana na rais kuwa Mungu kutokana na katiba yetu mbovu, Nape anamuhitaji Magufuli kuliko kinyume chake. Chini ya huu utawala wa Magufuli box la kura sio linalotoa kiongozi, hivyo ile nguvu ya Nape kuungwa mkono na wananchi haina maana kwani rais ndio anaamua nani awe mbunge na sio box la kura. Kwahiyo kumuona Nape anaongea lugha za kinafiki sio ajabu kwani akikosa madaraka ya kisiasa atapata tabu sana na hayuko tayari, hivyo lugha za kumsafisha mtu anayeamua nani awe na madaraka ni lazima.
 
Mnasahau kuwa kila siku mnasema hawashindi uchaguzi bali wanaiba kura wakisaidiwa na Polisi.

Sasa pushup za nini wakati kuna polisi na wizi wa kura?

Hoja zenu za uchaguzi ni fyongo!

Hapo hapo mnadai hawashindi bali wanaiba halafu tena mnadai wana wasiwasi na uchaguzi ujao.

Remember. You can't have your cake and eat it!



Sent from my iPhone using JamiiForums

Hata ukiiba ina maana huweki mazingira ya wizi? Mazingira ni lazima ili kuepusha machafuko na jumuiya za kimataifa kuhoji.
 
Mnasahau kuwa kila siku mnasema hawashindi uchaguzi bali wanaiba kura wakisaidiwa na Polisi.

Sasa pushup za nini wakati kuna polisi na wizi wa kura?

Hoja zenu za uchaguzi ni fyongo!

Hapo hapo mnadai hawashindi bali wanaiba halafu tena mnadai wana wasiwasi na uchaguzi ujao.

Remember. You can't have your cake and eat it!



Sent from my iPhone using JamiiForums
Push up huwa ni danganya toto tu akili yote huwa ni kwenye wizi wa kura.
 
Mnasahau kuwa kila siku mnasema hawashindi uchaguzi bali wanaiba kura wakisaidiwa na Polisi.

Sasa pushup za nini wakati kuna polisi na wizi wa kura?

Hoja zenu za uchaguzi ni fyongo!

Hapo hapo mnadai hawashindi bali wanaiba halafu tena mnadai wana wasiwasi na uchaguzi ujao.

Remember. You can't have your cake and eat it!



Sent from my iPhone using JamiiForums


Kazi ya polisi ni nn vituoni,kwann umepita mswaada wa kudhibiti vyama vya siasa
 
Back
Top Bottom