Njoka Ereguu
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 821
- 335
Ni dhahiri kuwa bunge la Tanzania lina wabunge wachache wenye uwezo wa kuchambua mambo na kuleta ujumbe wenye maana.
Pamekuwepo kelele nyingi za kutaka mikataba ya kimataifa kuidhinishwa na bunge kabla ya kusainiwa, lakini je hiyo capacity wanayo? Au wengine ni bendera fuata upepo tu?
Tumeona wakati wa Escrow ilivyokuwa tabu kwa wengine kupata taabu kutengeneza sentensi moja tu yenye maana na mshiko katika masikio ya umma wa Watanzania, je unadhani watu hao wakiletewa mikataba ya kimataifa wanaweza kuiangalia kwa maslahi mapana ya taifa au ndiyo litakuwa janga la kitaifa.
Sikatai kuwa wapo wabunge wenye uwezo mkubwa tu kama wataamua kufanya hivyo, kwa kuzingatia hilo ushauri wangu ni kuwa iundwe kamati ya kibunge ambayo wajumbe wake watachanguliwa kwa kuzingatia uwezo, weledi na uzalendo wa kwa taifa ili iwe kama ya kupitia mikataba husika. Hii itapunguza wapiga porojo ambao wakati mwingine porojo zao zinaweza kukwamisha mijadala yenye afya.
Pamekuwepo kelele nyingi za kutaka mikataba ya kimataifa kuidhinishwa na bunge kabla ya kusainiwa, lakini je hiyo capacity wanayo? Au wengine ni bendera fuata upepo tu?
Tumeona wakati wa Escrow ilivyokuwa tabu kwa wengine kupata taabu kutengeneza sentensi moja tu yenye maana na mshiko katika masikio ya umma wa Watanzania, je unadhani watu hao wakiletewa mikataba ya kimataifa wanaweza kuiangalia kwa maslahi mapana ya taifa au ndiyo litakuwa janga la kitaifa.
Sikatai kuwa wapo wabunge wenye uwezo mkubwa tu kama wataamua kufanya hivyo, kwa kuzingatia hilo ushauri wangu ni kuwa iundwe kamati ya kibunge ambayo wajumbe wake watachanguliwa kwa kuzingatia uwezo, weledi na uzalendo wa kwa taifa ili iwe kama ya kupitia mikataba husika. Hii itapunguza wapiga porojo ambao wakati mwingine porojo zao zinaweza kukwamisha mijadala yenye afya.