YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
- Thread starter
- #21
Masista na mapadri hawahusiki sababu hawaolewi wala kuoa kwa mujibu wa imani zao.Ninaoongelea ni hawa wanawake ambao sio masista na hawana mpango wa kuwa masista lakini wajeuri wanadinda hawataki kuzaaMasister wa kanisa letu wanahusika hapa? Je na wanaume wasio oa au kukataa kutoa mbegu zao kutumika kwaajili ya uzazi nao wachukuliwe hatua gani maana nao wapo wengi sana kanisa letu likiongoza.