Wewe nani kakulazimisha kuzaa?yaani binti mdogo lkn umezeeka kama kikongweKuna wanawake unakuta ni wazima tu kiafya na wana waume zao lakini hawataki kuzaa au kuendelea kuzaa wakati uzazi wanao.Bunge lipitishe sheria ya kuwabana ili kukomesha hiyo tabia
Hiyo inawezekana kabisa kwa lumumbaAkili za Lumumba baada ya Jiwe kusema wafyatue,bado kidogo mtalazimisha watu kuolewa!
Hizi ID hizi,
Usikute wewe ni mmoja wa wabunge maprofesa wale wa ccm waliotajwa na Spika juzi.
Haya peleka Muswada hakuna wa kuupinga
Pumbavu
do! ugali na chapati zilizoyeyushwa (tusker) na lazima hii mchana na hapa sio dar. ila bibi anaonekana kachokaWewe nani kakulazimisha kuzaa?yaani binti mdogo lkn umezeeka kama kikongweView attachment 874350
do! ugali na chapati zilizoyeyushwa (tusker) na lazima hii mchana na hapa sio dar. ila bibi anaonekana kachoka
AKILI ZA NAMNA HII HUPATIKANA CCM LUMUMBA
Mkuu imagine haya ndio mawazo ya vichaa wa CCM..Hahaaaaa.....
Mawazo ya kiccm hayo........
Like father like son......
unaweza kunitajia kiwango chako cha elimu labda na shule ulizosoma ?Kuna wanawake unakuta ni wazima tu kiafya na wana waume zao lakini hawataki kuzaa au kuendelea kuzaa wakati uzazi wanao.Bunge lipitishe sheria ya kuwabana ili kukomesha hiyo tabia
naanza kuunganisha nukta .Usikute hii ID mmiliki wake ni Mr. POLEPOLE
unaweza kunitajia kiwango chako cha elimu labda na shule ulizosoma ?
Masister wa kanisa letu wanahusika hapa? Je na wanaume wasio oa au kukataa kutoa mbegu zao kutumika kwaajili ya uzazi nao wachukuliwe hatua gani maana nao wapo wengi sana kanisa letu likiongoza.Kuna wanawake unakuta ni wazima tu kiafya na wana waume zao lakini hawataki kuzaa au kuendelea kuzaa wakati uzazi wanao.Bunge lipitishe sheria ya kuwabana ili kukomesha hiyo tabia