Bunge Linapojadili Maoni ya Kambi ya Upinzani Badala ya Budget ya Serikali: Inaashiria nini?

Wewe unauliza swali gani sasa wewe unataka wasijadili wakati wameileta bungeni.
 
It is very interesting that things like these happens at this particular period of time whereby our nation is passing through difficult time and someone said "When Things go wrong dont go with them"
 
wewe kweli akili yako ina mchanga hatujadili bajeti ya upinzani bungeni ya upinzani ni kama wangekuwa madarakani mnaogopa nini mapovu ya nini?QUOTE=zomba;4183462]Bajeti "0" umeisahau?

Bado mpaka leo hamjajua kwanini software ya Josephine imetoa mapato "0"?[/QUOTE]
 
hizo ni rasha rasha masika yanaaza 2014 kwa madiwani mnatokwa na mapovu mechi haijaanza mbinu zenu zote tunazijua makundi yenu ni mtaji kwa people's​ power 4rever poleni kwa machunguUOTE=Ritz;4183499]Wewe unauliza swali gani sasa wewe unataka wasijadili wakati wameileta bungeni.[/QUOTE]
 
kimsingi bajeti ya upinzania ina nguvu kuliko ya serikali ndiyo maana unawapa changamoto sana serikali hivyo basi ccm A NA CCM B wameonyesha udhaifu wa hali juu kwa kuijadili bajeti ndogo na kuacha bajeti kubwa
 
Wakuu jamvini, Nimekuwa nafuatilia mijadala ya Bunge letu la Budget kwa muda sasa ila sasa nimechoka kabisa. Kilicho nichosha ni hii tabia ya baadhi ya wabunge wengi (hasa wa CCM) kutumia muda wao wote kujadili mstari kwa mstari wa maoni ya Upinzani katika kila Budget iletwayo na Wizara. Nijuavyo mimi maoni ya kambi ya upinzani sio lazima yafuatwe na serikali iliyoko madarakani hivyo kama yana makosa serikali inayaweka pembeni na bado inakuwa haijavunja sheria yeyote. Sasa najiuliza kwa nini wabunge wa CCM na baadhi wa CUF wanatunisha Misuli na kutumia nguvu nyingi ku crash maoni ya Chadema na watoa maoni hayo wakati siyo yatakayo endesha serikali 2012/2013? Wanapoteza muda wao kisha wanaishia na kusema "Mhe Spika naona waziri asilisahau jimbo langu linakabiliwa na umasikini"
Najiuliza tena Hili Linaashiria nini?

Najiuliza tena Hili Linaashiria nini?

Mkuu utatatambua sasa kuwa wabunge wa CCM na baadhi wa CUF ,ni wanafiki (hypocrite) wapo kwa ajili ya maslahi si kwa ajili ya Watanzania!!! Wanajali matumbo yao kushiba, ebu fikiri mtu wa darasa la saba atajadili nini kuhusu budget ya kuendesha nchi ya watu million arobaini kama si unafikai huo????
 
Wewe unauliza swali gani sasa wewe unataka wasijadili wakati wameileta bungeni.
Kama huo ndio muuno wako na Wabunge wa CCM ndivyo wanavyo fikiri kuwa Maoni yaletwayo na upinzani ndyo ya kujadili nasio hotuba ya waziri basi kasoro ya utendaji wenu inaanzia hapo na kufanya mkose mwelekeo.
 
images
Kwa ndani naona kama ki bibi gagula vile??????

 
kimsingi bajeti ya upinzania ina nguvu kuliko ya serikali ndiyo maana unawapa changamoto sana serikali hivyo basi ccm A NA CCM B wameonyesha udhaifu wa hali juu kwa kuijadili bajeti ndogo na kuacha bajeti kubwa
Mkuu mbunge mwenzeo wa CCM kasema serikali ni kubwa kuliko uwezo wa mapato, waziri kajikanyaga kujibu, kuonyesha jinsi wasivyo jali wananchi!!!!!
 
Ni udhaifu wa Serikali, au mnataka tusema ni Umahiri wa UPINZANI? you can choose btn the two.
 
Wakuu jamvini, Nimekuwa nafuatilia mijadala ya Bunge letu la Budget kwa muda sasa ila sasa nimechoka kabisa.
Kilicho nichosha ni hii tabia ya baadhi ya wabunge wengi (hasa wa CCM) kutumia muda wao wote kujadili mstari kwa mstari wa maoni ya Upinzani katika kila Budget iletwayo na Wizara.

Nijuavyo mimi maoni ya kambi ya upinzani sio lazima yafuatwe na serikali iliyoko madarakani hivyo kama yana makosa serikali inayaweka pembeni na bado inakuwa haijavunja sheria yeyote.

Sasa najiuliza kwa nini wabunge wa CCM na baadhi wa CUF wanatunisha Misuli na kutumia nguvu nyingi ku crash maoni ya Chadema na watoa maoni hayo wakati siyo yatakayo endesha serikali 2012/2013?

Wanapoteza muda wao kisha wanaishia na kusema "Mhe Spika naona waziri asilisahau jimbo langu linakabiliwa na umasikini"
Najiuliza tena Hili Linaashiria nini?

Litaashiria nini zaidi ya udhaifu ndugu yangu?????....yaani wabunge wa ccm ni bure kabisa nawasikitikia sana wapiga kura wao.....hawako bungeni kuwasaidia bali kuitetea serikali yao dhaifu!
 
Jibu la swali lako ni kuwa inadhihirisha Wabunge wengi, hasa wa CCM, hawana mchango, Wako pale kupiga makofi.

Itambulike kwamba kazi Upinzani rasmi ni kupinga na kukosoa Serikali ili ijiepushe na makosa na isisinzie. Kwa hiyo CDM uzi ni huo huo.
 
Chama Cha Mabwepande wabunge wake karibu wote ma-ziro wakiongozwa na Stella Matomato.
 
ukiona wabunge wa ccm wanajadili hotuba/budget ya upinzani ina maana mtego umenasa.
 
bunge la sasa halina tofauti na katuni za tom & jerry!!

bunge lina vituko kila kukisha afadhali ya jana wanapoteza muda bure na kutunyonya wananchi kwa kukaana kubwatukiana pasipo sababu za msingi ushabiki wa kisiasa badala ya maslai ya wananchi

Kamanda BornTown, hizo generalization/general argument juu ya utendaji kazi wa bunge/wabunge ni kauli za ki-CCM sana mkuu. Wanataka kuonesha kuwa wabunge wote hawafai, hasa baada ya wabunge wa upinzani kuongezeka, hii yaweza pia kuonekana kuwa bora ilivyokuwa enzi za 'bunge la chama kimoja'.

Tuweni more specific na yale yanayoendelea ndani ya bunge. Unless tunataka kuwaunga mkono magamba kwa namna wanavyoharibu bunge, tena kwa vitu vinavyoonekana kupangwa kabisa hata kushirikisha uongozi wa bunge katika kuendesha vikao vya bunge.
 
sasa kama hawana cha kujadili wajadili nini??LAZIMA AKILI KUBWA ITAWALE AKILI NDOGO,sasa akili kubwa ikisema lazima akili ndogo ihangaike ni PRINCIPLE TUU SIO MIUJIZA
 
Back
Top Bottom