Kyindokyakombe
Member
- May 1, 2012
- 95
- 96
NDUGAI aliandika kimemo kipelekwe TBC ili wakate MATANGAZO tusione LIVE.WABUNGE watakuwa wanatanua wikiend au wapo mnadani wanachoma nyama.
Huna lolote kinacho kusumbua ni mafao anayo yapata Spika Makinda, kwani waonyesha umetumwa, na aliyekutuma mwambie kibiri kimejaa. Na la mwisho ni kuwa, kuwa na nywele kichwani hakumaanishi kuwa unaweza kufikiri.
asante,..magamba yameenda wapi au ndo wkend.
wewe kwa kuwa umezoea 'kutumika' basi kila unayepishana naye njiani unadhani naye huwa anatumwa. Matatizo yako ya msingi sana na wala sitaki uamini ninachokisema kwa sababu wapo wanaokuambia ukweli siku zote!.. Hata ulipoambiwa kuna mungu hadi leo huna uhakika! Lakini mumeo alipokuambia "nipo kwenye kikao" ukamuamini!..
wewe kwa kuwa umezoea 'kutumika' basi kila unayepishana naye njiani unadhani naye huwa anatumwa. Matatizo yako ya msingi sana na wala sitaki uamini ninachokisema kwa sababu wapo wanaokuambia ukweli siku zote!.. Hata ulipoambiwa kuna mungu hadi leo huna uhakika! Lakini mumeo alipokuambia "nipo kwenye kikao" ukamuamini!..
Akina Masanja inabidi wajingalie sana karibia wanafunikwa na Bunge comedy.
asante,..magamba yameenda wapi au ndo wkend.
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Naibu Spika Bw.Job Yustinno Ndugai limeahirishwa kwa kile kilichonyooshewa vidole na Wabunge wa Upinzani kuwa ni kutokutimiza Akidi ya yabunge zaidi ya 172.. Bajeti hiyo itajaribu kupitishwa tena Jumatatu..
Huna lolote kinacho kusumbua ni mafao anayo yapata Spika Makinda, kwani waonyesha umetumwa, na aliyekutuma mwambie kibiri kimejaa. Na la mwisho ni kuwa, kuwa na nywele kichwani hakumaanishi kuwa unaweza kufikiri.