- Thread starter
- #41
siku moja utafuta kauli yako yakheeeeeeeeeeee.
Hataifuta. Ni kweli wamechukua pesa hii. Hawataacha kuichukua hata 2015. Dhambi ya pesa ndivyo ilivyo. Ni sawasawa na kula nyama ya mtu!
siku moja utafuta kauli yako yakheeeeeeeeeeee.
Jana waliaarisha...kwa sababu ta Gongo L M ...Shame!!
..Leo wanairisha...
Hayo matukio yamekaa vipi?
That means ...
Kwa nini hawakuairisha jana...?
Natamani iwe hivyo, lakini so far sioni dalili
Unadhani watazifanyia nini? Wao na wengine wote linapokuwa ni suala maslahi na hasa pesa, hawana tofauti.mapema sana chadema ni chama chenye status ya kukamata dola siamini kama wabunge wetu wa chadema wanaweza kutumia milioni 90 kufanya anasa.
Huyu kweli ni Waziri Mkuu wa CCM. Mbona hata hajawapongeza Mawaziri Vivuli katika hotuba yake au hiyo haikuwa shughuli ya Bunge au ameona ni kokoto imeingia kwenye kiatu?
mapema sana chadema ni chama chenye status ya kukamata dola siamini kama wabunge wetu wa chadema wanaweza kutumia milioni 90 kufanya anasa.
mapema sana chadema ni chama chenye status ya kukamata dola siamini kama wabunge wetu wa chadema wanaweza kutumia milioni 90 kufanya anasa.
wangeahirisha jana, posho ya leo wasingepata....kwani hujaelewa tu hapo! halfu wanajidai wametoa kwa wahanga. Pesa ambayo hujaifanyia kazi, unasemaje ilikuwa ya kwako??!!!!
Wamemwita "mwongo" halafu awapongeze! Na uongo wenyewe umeingia kwenye hansard.
Asubuhi ya leo akijiandaa kumkaribisha Pinda kufunga bunge mama makinda kwa kifupi alifafanua kuwa mikopo ya magari ya wabunge itakuwa imeingia kwenye akaunti zao kwa ambao bado by next week...
akijaribu kupambana na g. lema akasema kuwa hata wao wananchi wanahitaji kufikiwa na mbunge wao hivyo gari hizo tena zile za mikonga ndio hesabu walizopigia....
akamalizia kwa kusema kuwa mbunge hawezi kuzungukia jimbo lake na KIBAJAJ!!!
hapo ndipo nikaanza kuwa na mashaka na uwezo wa mama yetu mama makinda...
1. je hajui kuwa raisi wake amevifagilia vibajaj na amependekeza kununua vibajaj 400 kubebea mama wajawazito? yeye kwa nini amevidharau?
2. sina uhakika na sijui, je walivyojadili hotuba ya raisi wamekubaliana kununua vibajaj kwa akili ya kina mama wajawazito?
naomba kuwasilisha
Bunge hili, Duhh, ni bomu koliko hata la mbagala na Gongs.