Bunge limeahirishwa kutoka na ajali ya Mv Skagit

Jamani nchi hii sasa ina ombwe la uongozi limezidi mipaka. Priority katika mambo ya msingi hakuna tena. Tunapo ambiwa suala la madaktari liko mahakamani nani asiyejua utendaji wa shughuli za mahakama unavyo chukua muda kufikia hukumu zake? Serikali kwa sababu haina nia ya kutatua mgogoro huu waliamua kulikimbizia mahakamani wakijua fika mahakama haiwezi kushurutishwa kutenda shughuli zake na hivyo kupunguza nguvu ya mgomo.

Hivyo basi naomba wananchi wote, vyama vya siasa, wanaharakati wa haki za binadamu, dini zilizo na uchungu na nchi hii zisizo tumiwa na wanasiasa tuipe serikali siku chache kama siyo masaa serikali kutatua mgogoro huu ama sivyo tuiwajibishe. Upole wetu unatuponza, wanautumia kutufanya wanavyotaka kama mafisadi wanavyomtumia DHAIFU kufanya wanavyotaka.

Haya ndo matatizo ya kuongozwa na Serikali ya kishikaji na dhaifu. Hakuna uwajibikaji zaidi ya kuitafuna Nchi yetu. Kuwaondoa ndo ufumbuzi ni kuwaondoa kwa mfumo wanaoutumia wenzetu wa Syria. Kinyume ya hapo hawawezi kuondoka madarakani.
 
Idadi kubwa hii ya WAZANZIBAR wanaosafiri kati ya Dar-ZNZ-Pemba na MUUNGANO hawautaki itakuwaje ukivunjwa? Poleni wafiwa wote. Tumwambie Maghufuli aangalie uwezekano wa daraja pia kati ya "NCHI" hizi mbili.
 
Ni tatizo la kudhani kwamba kila hoja nzuri lazima itoke CCM. Pia kuna tabia inayozidi kukuwa kwa kudhani kwamba taifa linakuwa kwenye maombolezo pale mwanasiasa anapofariki tu.

MV Bukoba ilipozama, Sumayi akiwa Waziri Mkuu, kipindi hicho akiwa nchi za kusini mwa afrika hata hakujali kurudi nyumbani. Aliamua kuendelea na ziara yake tu!

Sasa kwa wabunge wa CCM imekuwa ni aibu tupu!
 
Kipaumbele ni kuitetea CCM na Serikali yake.

Ninyi wananchi mtakumbukwa 2015 kwa kupewa Wali Maharagwe, Khanga na T-Shirt za Yanga, Taarab za T.O.T kidogo na Matusi Ya Lusinde.

umetoa maelezo yako mazuri ila hapo kwenye blue ukaharibu kabisa!
 
Idadi kubwa hii ya WAZANZIBAR wanaosafiri kati ya Dar-ZNZ-Pemba na MUUNGANO hawautaki itakuwaje ukivunjwa? Poleni wafiwa wote. Tumwambie Maghufuli aangalie uwezekano wa daraja pia kati ya "NCHI" hizi mbili.
viongozi wetu wana dhamira za kisiasa na wala sio za kweli.
halafu huyu mmiliki wa meli si aliambia hali ya hewa ni mbaya. ilikuwaje aendelee na safari? kama yeye hakufa bila shaka kawatega chambo wanasafiri ili yeye apate fidia ya marine insurance . waliofiwa wachukue hatua huyu bwana baada ya siku 2 analeta kitu kipya bila ya aibu. hiyo chenji lazima awagawie wafiwa.
laana ya I
hawa wanaosafiri ndio wanaoupinga muungano bila shaka uanafiki umewaumbua. laana ya mwalimu wasipoisikia wataendelea kuteketea. inakuwaje wao ndo wanaofaidi muungano halafu waanze kuuharibu. angalia wabunge wangapi bila muungano si wangekulana huko zanzibar wavunje wakione chamoto.
laana ya 2
Kosa la wazenji kuruhusu meli za IRAN KUSAFIRI ZIKIPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA. WENZENU WAMEBEBA MAJINI SASA HAYO MAJINI YAMETAPAKAA BAHARI YA HINDI YATAENDELEA KUNYONGA WATU BILA MPANGILIO. VIONGOZI WANAOTEGEMEA KUTAWALA KWA VITISHO NDIO TABIA YA YA KUTAWALA KWA FIMBO YA CHUMA HATA KWA KUAJIRI MAJINI LAKINI GADAFFI YUKO WAPI? SADAM YUKO WAPI? KIKWETE ONGOZA WATU KWA HAKI WATAKUPENDA KWA YALE ULIYOTENDA
 
Ni tatizo la kudhani kwamba kila hoja nzuri lazima itoke CCM. Pia kuna tabia inayozidi kukuwa kwa kudhani kwamba taifa linakuwa kwenye maombolezo pale mwanasiasa anapofariki tu.

MV Bukoba ilipozama, Sumayi akiwa Waziri Mkuu, kipindi hicho akiwa nchi za kusini mwa afrika hata hakujali kurudi nyumbani. Aliamua kuendelea na ziara yake tu!

Sasa kwa wabunge wa CCM imekuwa ni aibu tupu!

JK naye yuko busy na mgeni wake toka Liberia!
 
R.I.P wote mliotutoka kutokana na janga hili la kuzama kwa meli. Poleni sana wafiwa na Watanzania wenzangu wote.
 
Back
Top Bottom