MZEE MSASAMBEGU
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,780
- 2,547
Mbona wazalendo wa kweli wakina lissu na kina zitto haya madudu walikuwa wanayasema.....kumbe hao ndo wazalendo wa kweli wanaodiriki kusema hata kama hawana madaraka makubwa...siku wakipewa hayo madaraka makubwa watafanya mara 100 ya anayoyafanya magufuliHakuwa na madaraka makubwa kama sasa!!