Bunge lilikuwa wapi miaka yote hii hadi Rais Magufuli anakuja kubaini madudu mengi hivi?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Sep 30, 2011
18,269
33,872
Kila sakata linaloibuliwa na Rais Magufuli linaacha maswali nyuma kama kweli Bunge letu limekuwa linatimiza wajibu wake sawa sawa kama ulivyotajwa katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania Ibara ya 63 kifungu kidogo cha Pili.

Hivi kweli kama Bunge letu lingekuwa linaisimamia serikali kisawasawa kama inavyotakiwa haya mambo ya Airtel yangekuwepo kweli? Ama tuseme waliokuwa wanafaidika na madudu haya yanayoibuliwa sasa ndiyo wenye ushawishi ndani ya Bunge letu?

Ukiangalia mikataba ambayo imekuwa inalalamikiwa na watanzania mingi yake sheria zake zilitungwa bungeni na wabunge walizipitisha kwa nderemo kubwa sana. Inakuwaje ni serikali yenyewe imekuwa inajifanyia upekuzi badala ya upekuzi huo kufanywa na bunge?

Hivi mpaka leo Kamati ya Kisekta imeshaihoji bodi ya Bandari kuhusu yale magari na Vichwa vya treni vilivyokuwa vimetelekezwa Bandarini Dar es salaam. Kamati za kisekta kazi yake ni kutembelea miradi tu lakini hazioni kama kuna umuhimu wa kuihoji serikali zikiwa zimemakinika?

Sijui bunge letu limekumbwa na nini?
 
Kuna mambo yalikuwa yamekita mizizi ila unategemea nini kwa Wabunge ambao ni Tiara hawasomi vitabu kujua nchi yao wao wanawaza kulamba miguu ya wakubwa, Tunaposema JPM ana udhubutu basi Huyu jamaa ni Jembe na Haogopi mto una kina Gani, Hapa tuzidi kumuombea tu
 
Kuna mambo yalikuwa yamekita mizizi ila unategemea nini kwa Wabunge ambao ni Tiara hawasomi vitabu kujua nchi yao wao wanawaza kulamba miguu ya wakubwa, Tunaposema JPM ana udhubutu basi Huyu jamaa ni Jembe na Haogopi mto una kina Gani, Hapa tuzidi kumuombea tu

Mkuu wakati hayo madudu yakifanyika JPM alikuwa waziri na mbunge, alifanya nini kuzuia hayo? Au uzalendo unaanza kwa kuwa rais na usipokuwa rais ni kufumbia macho uovu?
 
Kila sakata linaloibuliwa na Rais Magufu linaacha maswali nyuma kama kweli Bunge letu limekuwa linatimiza wajibu wake sawa sawa kama ulivyotajwa katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania Ibara ya 63 kifungu kidogo cha Pili.

Hivi kweli kama Bunge letu lingekuwa linaisimamia serikali kisawasawa kama inavyotakiwa haya mambo ya Airtel yangekuwepo kweli? Ama tuseme waliokuwa wanafanidika na madudu hayo yanayoibuliwa sasa ndiyo wenye ushawishi ndani ya Bunge letu?

Ukiangalia mikataba ambayo imekuwa inalalamikiwa na watanzania mingi yake sheria zake zilitungwa bungeni na wabunge walizipitisha kwa nderemo kubwa sana. Inakuwaje ni serikali yenyewe imekuwa inajifanyia upekuzi badala ya upekuzi huo kufanywa na bunge?

Hivi mpaka leo Kamati ya Kisekta imeshaihoji bodi ya Bandari kuhusu yale magari na Vichwa vya treni vilivyokuwa vimetelekezwa Bandarini Dar es salaam. Kamati za kisekta kazi yake ni kutembelea miradi tu lakini hazioni kama kuna umuhimu wa kuihoji serikali zikiwa zimemakinika?

Sijui bunge letu limekumbwa na nini?
bunge likifanya kazi yake ipasavyo. mheshimiwa sana atakosa chakumpa kiki,
 
Kila sakata linaloibuliwa na Rais Magufuli linaacha maswali nyuma kama kweli Bunge letu limekuwa linatimiza wajibu wake sawa sawa kama ulivyotajwa katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania Ibara ya 63 kifungu kidogo cha Pili.

Hivi kweli kama Bunge letu lingekuwa linaisimamia serikali kisawasawa kama inavyotakiwa haya mambo ya Airtel yangekuwepo kweli? Ama tuseme waliokuwa wanafaidika na madudu haya yanayoibuliwa sasa ndiyo wenye ushawishi ndani ya Bunge letu?

Ukiangalia mikataba ambayo imekuwa inalalamikiwa na watanzania mingi yake sheria zake zilitungwa bungeni na wabunge walizipitisha kwa nderemo kubwa sana. Inakuwaje ni serikali yenyewe imekuwa inajifanyia upekuzi badala ya upekuzi huo kufanywa na bunge?

Hivi mpaka leo Kamati ya Kisekta imeshaihoji bodi ya Bandari kuhusu yale magari na Vichwa vya treni vilivyokuwa vimetelekezwa Bandarini Dar es salaam. Kamati za kisekta kazi yake ni kutembelea miradi tu lakini hazioni kama kuna umuhimu wa kuihoji serikali zikiwa zimemakinika?

Sijui bunge letu limekumbwa na nini?


Anza kwa kujiuliza, je ni wabunge wangapi wenye kuweza kuelewa mikataba, maana wengi wao wakati ule walikuwa ni schooless
 
Kwani saizi liko wapi JPM anavyo "screw up"? Jinsi lilivyo leo ndivyo lilivyokua miaka hiyo ya mkapa, hawajawahi kufanya lolote la maana. Bunge lipo tu ili nchi ionekane ina wawakilishi wa wananchi lakini kiuhalisia wabunge wa tanzania ni wawakilishi wa matumbo yao. (Kasoro wachache ambao hata leo hii kwa umbumbumbu wa wananchi mnawaita "wasaliti" wanapokosoa raisi anapokiuka katiba na sheria)
 
28c5c85d11d1dc8bc805b73ebf06ff39.jpg
 
Kila sakata linaloibuliwa na Rais Magufuli linaacha maswali nyuma kama kweli Bunge letu limekuwa linatimiza wajibu wake sawa sawa kama ulivyotajwa katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania Ibara ya 63 kifungu kidogo cha Pili.

Hivi kweli kama Bunge letu lingekuwa linaisimamia serikali kisawasawa kama inavyotakiwa haya mambo ya Airtel yangekuwepo kweli? Ama tuseme waliokuwa wanafaidika na madudu haya yanayoibuliwa sasa ndiyo wenye ushawishi ndani ya Bunge letu?

Ukiangalia mikataba ambayo imekuwa inalalamikiwa na watanzania mingi yake sheria zake zilitungwa bungeni na wabunge walizipitisha kwa nderemo kubwa sana. Inakuwaje ni serikali yenyewe imekuwa inajifanyia upekuzi badala ya upekuzi huo kufanywa na bunge?

Hivi mpaka leo Kamati ya Kisekta imeshaihoji bodi ya Bandari kuhusu yale magari na Vichwa vya treni vilivyokuwa vimetelekezwa Bandarini Dar es salaam. Kamati za kisekta kazi yake ni kutembelea miradi tu lakini hazioni kama kuna umuhimu wa kuihoji serikali zikiwa zimemakinika?

Sijui bunge letu limekumbwa na nini?
MUULIZE SPIKA WA VIWANGO OHH HIVI NI MAREHEMU SASA KUMBE
 
Swali la mleta Uzi la kishamba sana kumbuka zitto na buzwagi walimfukuza Bungeni miezi mingapi Kumbuka mswahaada wa Gesi ulivyopitishwa Bungeni haraka haraka mpaka watu wakawa wanauliza kuna ulazima gani mswahaada kupitishwa kwa kasi ya4G wanao sema ndiyoooo wameshinda unategemea nini kwenye Bunge kama hilo
 
Kwani hata huyo anayefukunyua alikuwa wapi siku zote? Kama sio na yeye alikuwa upande wa ndioooooo! Leo anajifanya anashituka aibu kwake
Hata yeye anahusika na swali hili. Na jee Bunge linafanya kazi ya Serikali ama inafanya kazi ya kuisimamia serikali ifanye kazi ya wananchi ambao ndiyo waajiri wao Wabunge na hiyo serikali wanayopaswa kuisimamia?
 
Kila sakata linaloibuliwa na Rais Magufuli linaacha maswali nyuma kama kweli Bunge letu limekuwa linatimiza wajibu wake sawa sawa kama ulivyotajwa katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania Ibara ya 63 kifungu kidogo cha Pili.

Hivi kweli kama Bunge letu lingekuwa linaisimamia serikali kisawasawa kama inavyotakiwa haya mambo ya Airtel yangekuwepo kweli? Ama tuseme waliokuwa wanafaidika na madudu haya yanayoibuliwa sasa ndiyo wenye ushawishi ndani ya Bunge letu?

Ukiangalia mikataba ambayo imekuwa inalalamikiwa na watanzania mingi yake sheria zake zilitungwa bungeni na wabunge walizipitisha kwa nderemo kubwa sana. Inakuwaje ni serikali yenyewe imekuwa inajifanyia upekuzi badala ya upekuzi huo kufanywa na bunge?

Hivi mpaka leo Kamati ya Kisekta imeshaihoji bodi ya Bandari kuhusu yale magari na Vichwa vya treni vilivyokuwa vimetelekezwa Bandarini Dar es salaam. Kamati za kisekta kazi yake ni kutembelea miradi tu lakini hazioni kama kuna umuhimu wa kuihoji serikali zikiwa zimemakinika?

Sijui bunge letu limekumbwa na nini?
Toka lini bunge la Tanzania likaisimamia serikali.
Serikali ya chama ndiyo inayolisimamia bunge katika awamu zote.
 
Back
Top Bottom