johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,745
- 139,524
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu hao akina KUB na mawaziri vivuli wako kwa mujibu wa kanuni za bunge ambazo zinaweza kutenguliwa wakati wowote.
Kadhalika uzoefu wa matokeo ya chaguzi ndogo umeonyesha wapinzani wana nafasi nyembamba ya kupata japo wabunge 5 kunako 2020
Hivyo ni dhahiri bunge lijalo halitakuwa na kambi rasmi ya upinzani na kwamba wabunge wengi wa CCM waliozoea kujadili Hotuba za mawaziri vivuli badala ya kuishauri serikali kupitia Hotuba za mawaziri watabakia kula pipi tu na kupiga makofi.
Maendeleo hayana vyama!
Kadhalika uzoefu wa matokeo ya chaguzi ndogo umeonyesha wapinzani wana nafasi nyembamba ya kupata japo wabunge 5 kunako 2020
Hivyo ni dhahiri bunge lijalo halitakuwa na kambi rasmi ya upinzani na kwamba wabunge wengi wa CCM waliozoea kujadili Hotuba za mawaziri vivuli badala ya kuishauri serikali kupitia Hotuba za mawaziri watabakia kula pipi tu na kupiga makofi.
Maendeleo hayana vyama!