Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,984
- 103,357
Litakuwa bunge bora kabisa kuwahi kutokea bila wanafki
Hilo bunge litakuwa kama nyumba ya ibada iliyompata Nabii mpya aitwaye Magufuli. Ni bunge litakalokuwa linaangaliwa na wajinga wengi huku werevu wakishindwa kuamini macho yao.