Kuna chombo fulani kipo pale bungeni kabla hujaingia kwenye kiti cha spika kiko mbele hapo in short mwonekano wake kina rangi ya dhahabu wana JF mnisaidie
1) Kinaitwa je?
2) Kina maana gani ?
Maana kuna wakati wabunge wana simama kina wekwa kwenye droo (means they respect it) baada ya kumaliza kupitisha hoja zao kilekile kinatendeka wana kiweka juu tena wana endelea.Yaani sielewi kabisa huwa kuna maana gani kufanya hivyo .
1) Kinaitwa je?
2) Kina maana gani ?
Maana kuna wakati wabunge wana simama kina wekwa kwenye droo (means they respect it) baada ya kumaliza kupitisha hoja zao kilekile kinatendeka wana kiweka juu tena wana endelea.Yaani sielewi kabisa huwa kuna maana gani kufanya hivyo .