VAPS
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 5,610
- 13,160
Bashiru na genge lake wanatamani sana pasiwepo na mbunge hata mmoja toka kambi ya vywama pinzani. Wapo tayari kutumia garama yeyote kutimiza adhima yao.Nini kitajiri endapo hilo litatimia? Je pato la Mtanzania litakua kwa kasi zaidi? Viwanda vitashamiri gafla? Ujenzi SGR utaongeza kasi zaidi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app