Duniahadaa
JF-Expert Member
- Oct 16, 2017
- 336
- 677
Tanzania ni nchi huru, kwanini mtu aseme eti kiongozi/ Gavana wetu anakiuka haki ya kuishi? Haki za binadamu hata mukulu wetu alishasema sio kipaumbele chake. Kipaumbele chetu ni reli na madaraja. Sasa kwanini hao USA wadili na mtoto badala ya baba mwenyewe?.
Bunge letu naliomba litoe tamko kukemea kabisa ili iwe funzo kwa mataifa mengine.
Bunge letu naliomba litoe tamko kukemea kabisa ili iwe funzo kwa mataifa mengine.