Robinhomtoto
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 238
- 244
Wadau naomba tusaidiane kuliokoa Bunge letu japo Kwa ushauri.Bunge letu kuyumba Na kutokuwa imara kama mabunge yaliyopita tatizo ni nini?
Elimu ndogo Kwa wabunge wetu?
Kuwa la kichama sana Kwa maanavya CCM?
Uongozi mbovu?
Naomba tujadili labda litajirekebisha.
Elimu ndogo Kwa wabunge wetu?
Kuwa la kichama sana Kwa maanavya CCM?
Uongozi mbovu?
Naomba tujadili labda litajirekebisha.