Chief Isike
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 445
- 462
Sehemu ya hotuba ya Lema, leo bungeni. Kuna paragraph moja (nitaiweka baadae katika mjadala huu) Naibu Spika alimzuia kuisoma kabisa. Hivi lini Magamba hawa watakubali kukosolewa na kujibu hoja za wapinzani wao kwa hoja zenye mantiki. Serikali ya CCM wajenge hoja wasipayuke (Argue! Don't shout, Prof. Shivji in Intellectuals at The Hill).
"Mheshimiwa Spika,Mpigania haki za watu weusi wa nchini Marekani, Hayati Dr. Martin Luther King, Jr. aliwahi kusema kwamba "peace is not the absence of war but merely the presence of Justice", yaani "amani si hali ya kutokuwepo vita, bali ni uwepo wa haki". Kwa kipimo hiki cha amani, nchi yetu haina amani kama viongozi wa serikali na wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wanavyodai kila mara. Hii ni kwa sababu, licha ya ukweli kwamba Tanzania hakuna vita, pia ni dhahiri Tanzania sio nchi ya haki. Nathibitisha;"
"Mheshimiwa Spika,Mpigania haki za watu weusi wa nchini Marekani, Hayati Dr. Martin Luther King, Jr. aliwahi kusema kwamba "peace is not the absence of war but merely the presence of Justice", yaani "amani si hali ya kutokuwepo vita, bali ni uwepo wa haki". Kwa kipimo hiki cha amani, nchi yetu haina amani kama viongozi wa serikali na wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wanavyodai kila mara. Hii ni kwa sababu, licha ya ukweli kwamba Tanzania hakuna vita, pia ni dhahiri Tanzania sio nchi ya haki. Nathibitisha;"