Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,228
- 113,575
This session is proving to be like no other.
Wamevunja kanuni, baada ya kuona Naibu spika akiwabania upinzani na kuwapa upendeleo wa wazi wale jamaa wa chama tawala. Ni kweli hawajaonewa lakini tatizo ni kwamba sheria za Bunge sijui ni kanuni za Bunge zinafanya kazi kwa wapinzani tu1 Huku waziwazi zikikibeba chama tawala. Mi nafikiri katiaka katiba mpya inayokuja Spika na Naibu wake wasiwe watanzania. Sanasana napendekeza awe Mchina, Mjapani au Mkorea.Wametolewa nje na Naibu speaker kwa kosa la kuongea/Kuwasha MIC bila ruhusa ya Naibu Speaker
Kuna haki hapo?
Ni ule ule utoto wa CDM, Hata ningekuwa spika ningewatoa nje wanaozomea wakati wenzao wanaongea. Haiwezekani CDM tu wajione ndio wana haki ya kuongea.
<br />Wametolewa nje na Naibu speaker kwa kosa la kuongea/Kuwasha MIC bila ruhusa ya Naibu Speaker<br />
Kuna haki hapo?
kuna wabunge wanaongoza kwa kuzome,kuwasha mic,kukejeli na ushabiki wa kichama kama wabunge wa CCM..Ni ule ule utoto wa CDM, Hata ningekuwa spika ningewatoa nje wanaozomea wakati wenzao wanaongea. Haiwezekani CDM tu wajione ndio wana haki ya kuongea.
Wamevunja kanuni, baada ya kuona Naibu spika akiwabania upinzani na kuwapa upendeleo wa wazi wale jamaa wa chama tawala. Ni kweli hawajaonewa lakini tatizo ni kwamba sheria za Bunge sijui ni kanuni za Bunge zinafanya kazi kwa wapinzani tu1 Huku waziwazi zikikibeba chama tawala. Mi nafikiri katiaka katiba mpya inayokuja Spika na Naibu wake wasiwe watanzania. Sanasana napendekeza awe Mchina, Mjapani au Mkorea.
Kisa ni kitendo cha Naibu wa Spika kumpatia muda mrefu Lukuvi kuongea kuitetea serikali kuhusu na Hotuba ya Lema, Kambi ya upizani wamekataa kitendo hicho cha kupatiwa muda mrefu wakati si hotuba. Naibu wa spika ametumia kiti kuwatoa nje ya ukumbi kwa kazi za siku ya leo. Mambo yalikuwa magumu kweli kiasi cha hata Lukuvi mwenyewe kushindwa kumalizia hotuba yake.
Ni ule ule utoto wa CDM, Hata ningekuwa spika ningewatoa nje wanaozomea wakati wenzao wanaongea. Haiwezekani CDM tu wajione ndio wana haki ya kuongea.