Mbona umeandika kishabikiFaiza fox,mohamed said na watetetezi wengine wa ufisadi,nendeni bungeni mkazuie dau kuchunguzwa.
Faiza fox,mohamed said na watetetezi wengine wa ufisadi,nendeni bungeni mkazuie dau kuchunguzwa.
Mbona umeandika kishabiki
Sasa hapa lengo ni kutuambia bunge linachunguza ufisadi au FaizaFoxy na Mohamed Said wakazuie bunge kufanya kazi yake??Faiza fox,mohamed said na watetetezi wengine wa ufisadi,nendeni bungeni mkazuie dau kuchunguzwa.
Hawa ulowataja wanashadadia hakuna ufisadi ulifanya na baloziSasa hapa lengo ni kutuambia bunge linachunguza ufisadi au FaizaFoxy na Mohamed Said wakazuie bunge kufanya kazi yake??
Wameshindwa kutetea wananchi kuhusu ujambazi wa fao la kujitoa....waache sifa za hovyoHamna la maana hapo, wameshindwa kufanya mambo ya muhimu na sass wanaleta chuki binafsi kwa sababu ya udini tu hamna lolote hapo.
Hapo saaasa...hovyo sanaWatapitishiwa milioni 10 nyingine
Kuna upuuzi unaofanywa na hao wabunge yaani mtu hata unaona kinyaa kuwasikiliza achilia mbali kuwaona.Wameshindwa kutetea wananchi kuhusu ujambazi wa fao la kujitoa....waache sifa za hovyo
Hivi Dau kila akitajwa basi utetezi ni udini udini, jee Dau alikuwa kiongozi Bakwata au Imamu wa Masjid NSSF?Hamna la maana hapo, wameshindwa kufanya mambo ya muhimu na sass wanaleta chuki binafsi kwa sababu ya udini tu hamna lolote hapo.
Fikiri si kabla ya kutenda tu hata kabla ya kuulizaHivi Dau kila akitajwa basi utetezi ni udini udini, jee Dau alikuwa kiongozi Bakwata au Imamu wa Masjid NSSF?
Waache mapoyoyo wabaki na upoyoyo wao,kitilya,mramba,yona na mahalu hawana dini EEE,dau ndo anaemjua mungu pekee,ukiona hivyo kuna jambo zaidi ya dini na wiziHivi Dau kila akitajwa basi utetezi ni udini udini, jee Dau alikuwa kiongozi Bakwata au Imamu wa Masjid NSSF?