Bunge lapwaya: Ni baada ya kukosa changamoto za CHADEMA

The Conquerer

Member
Aug 16, 2012
79
94
Kuanzia juzi, bunge limepigwa na ubaridi na maeneo ya bunge yamekuwa kimya baada ya wabunge wote wa CHADEMA kutokuwepo maeneo ya bunge. Wabunge wote wa CHADEMA wapo Arusha kuomboleza pamoja na wananchi kufuatia mlipuko wa bomu uliotokea tarehe 15 Juni, 2013 katika kampeni za CHADEMA. Hata hivyo polisi waliendelea kuvunja amani kwa kuwapiga wananchi kwa mabomu hali iliyosababisha maombolezo na kuaga miili ya marehemu kushindikana kufanyika jana.

MPAKA SASA BUNGE AMBALO NI CHOMBO CHA UWAKILISHI WA WANANCHI HALIJATOA TAMKO LOLOTE, NA LIMEENDELEA KUJADILI BAJETI YA SERIKALI KAMA VILE HAKUNA JAMBO LILILOTOKEA. HATA HIVYO MAJADILIANO YANAYOENDELEA YAMEKOSA MVUTO KWA KUWA MAJEMBE YA CHADEMA HAYAPO MJENGONI. BUNGE NA MAZINGIRA YA BUNGE KWA UJUMLA YAMEPWAYA SANA.
 
Bunge limebaki na mazezeta watupu ambao hawawezi kusimamia kile wanachoamini badala yake huambiwa nini cha kuzungumza na chama chao CCM.
 
Nimewahi kuona baraza la madiwani la Tunduru likiendesha kikao chao. Hakikuwa na tofauti na kikao cha Bunge kilichokaa siku mbili hizi. Tofauti tuu ni uzuri wa ukumbi wa Dodoma Bungeni dhidi ya ule wa Tunduru.
 
SASA KM WAJINGA WANADENGUA KUHUDHUIRIA WALIFIKIRI BUNGE HALITAENDESHWA?
Hata kwa miaka yote iliyobaki Serikali ya tanzania itakuwepo na kila kitu kitaenda bila kipingamizi chochote
Hivi Bunge lenye Kebehi madharau faida yake ni nini mliyoipata toka CHADEMA waingie humo Ukumbini
Ni vizuri kabisa na kwenye Katiba iorodheshwe watakaosusa au kuomba Muongozo Kura zipigwe na Bunge litaamua kutokna na kura
Sasa hao Wabunge wanaozila kuhudhuria wanajua ni Kodi za nani zinazowalipa Marupurupu na mishahara?
 
...chamatawala kimehamia Arusha na dunia na vyombo vya habari vimehamia huko....hutaki unaruhusiwa kulia...
 
Mkuu ukiturushia hapa CV yako kwa ufupi tu tungekupa ushauri wa kukufaa maishani. Lakini sishangai kwa mawazo uliyotuandikia hapa mtu naweza akakujua mara moja wewe ni mtu wa aina gani. Upo msemo wa hekima usemao kwamba, "Ni mpumbavu tu ambaye hujufunza kwa makosa yake mwenyewe, lakini mwenye hekima yeyote hujifunza kwa makosa ya watu wengine"
Tafakari kwa kina ushauri huu, ni mchawi tu anayeshangalia msiba wa mtu lakini jirani mwema hutumia msiba wa mtu kutafakari na yeye msib utakaapomkuta na yeye nyumbani kwake. Maana mtu anayejua kuandika, kiwango cha makosa huwa kidogo sana kuliko msemaji wa moja kwa moja.

TAFAKARI-!!!!!!!!!!!
 
SASA KM WAJINGA WANADENGUA KUHUDHUIRIA WALIFIKIRI BUNGE HALITAENDESHWA?
Hata kwa miaka yote iliyobaki Serikali ya tanzania itakuwepo na kila kitu kitaenda bila kipingamizi chochote
Hivi Bunge lenye Kebehi madharau faida yake ni nini mliyoipata toka CHADEMA waingie humo Ukumbini
Ni vizuri kabisa na kwenye Katiba iorodheshwe watakaosusa au kuomba Muongozo Kura zipigwe na Bunge litaamua kutokna na kura
Sasa hao Wabunge wanaozila kuhudhuria wanajua ni Kodi za nani zinazowalipa Marupurupu na mishahara?
tatizo ya mnaonunuliwa mnawaza pesa tu mda wote, NAIJUE KODI ZA MNAOWAUA NDO ZINAWALIPA HAYO MARUPURUPU NA MISHAHARA TATIZO LENU MNAAMINI WAZUNGU WATAWAPA KILA KITU!
 
SASA KM WAJINGA WANADENGUA KUHUDHUIRIA WALIFIKIRI BUNGE HALITAENDESHWA?
Hata kwa miaka yote iliyobaki Serikali ya tanzania itakuwepo na kila kitu kitaenda bila kipingamizi chochote
Hivi Bunge lenye Kebehi madharau faida yake ni nini mliyoipata toka CHADEMA waingie humo Ukumbini
Ni vizuri kabisa na kwenye Katiba iorodheshwe watakaosusa au kuomba Muongozo Kura zipigwe na Bunge litaamua kutokna na kura
Sasa hao Wabunge wanaozila kuhudhuria wanajua ni Kodi za nani zinazowalipa Marupurupu na mishahara?

Naogopa kupigwa ban, serukamba you.... Ipo siku isiyo na jina mtatoa hesabu ya mauaji yote mliyoyafanya kwa uroho wa madaraka! uwezo wako wa kufikiri umeishia kwenye pua yako! Umejaa ujinga unaotokana na kuvimbiwa ufisadi! Umeniharibia siku kabisa!
 
Hutakiwi kubishana na ukweli na kutukana pale unapokuwa na maslahi yako binafsi katika mijadala ya humu JF, tukikubali ukweli hatutaweza kushindana nao, mtoa hoja umetoa hoja muhimu sana nasikitika watanzania hatutaki kukubali ukweli kuwa bunge sasa ni genge la kutetea mambo ya watawala nimefuatilia mjadala hakuna hoja za wananchi zaidi ya kuzungumzia kwa kejeli juhudi za CHADEMA. Mungu atujalie tuweze tambua nini kama nchi tunahitaji kufanya na watanzania watambue ni aina gani ya uongozi wanahitaji kuwapa ridhaa ya kuwaongoza kwa wakati ujao.
 
mkuu ukiturushia hapa cv yako kwa ufupi tu tungekupa ushauri wa kukufaa maishani. Lakini sishangai kwa mawazo uliyotuandikia hapa mtu naweza akakujua mara moja wewe ni mtu wa aina gani. Upo msemo wa hekima usemao kwamba, "ni mpumbavu tu ambaye hujufunza kwa makosa yake mwenyewe, lakini mwenye hekima yeyote hujifunza kwa makosa ya watu wengine"
tafakari kwa kina ushauri huu, ni mchawi tu anayeshangalia msiba wa mtu lakini jirani mwema hutumia msiba wa mtu kutafakari na yeye msib utakaapomkuta na yeye nyumbani kwake. Maana mtu anayejua kuandika, kiwango cha makosa huwa kidogo sana kuliko msemaji wa moja kwa moja.

Tafakari-!!!!!!!!!!!
hapa umejamba !!1. Kk,,,mnnnnn11! Kkkw
 
Back
Top Bottom