Mbona unaonekana kama una personal vendetta! You are over obsessed with it. Ni wewe tu unayeyaona hayo?View attachment 360058 Kiwanja, Nyumba na matofali hayo ni mali ya makamu Mkuu wa chuo. Mali hii inatokana na ujenzi wa jengo la Umwagiliaji la Chuo cha Ufundi Arusha. Zaidi ya matofali 20,000 yaliyochukuliwaa na Mkuu na Makamu Mkuu wa chuo
View attachment 360061 Viwanja hivi ni mali ya Mkuu wa chuo na vinatokana na ujenzi wa jengo la Umwagiliaji la Chuo cha Ufundi Arusha. Matofali yaliyochukuliwa na Mkuu wa chuo yalijenga nyumba ya Mkuu wa chuo iliyopo Njiro Arusha.
Wengine kibao wanaona lakini hatuwezi kusema wote. Mjomba, tukisema wote itaonekana ni fujo.Mbona unaonekana kama una personal vendetta! You are over obsessed with it. Ni wewe tu unayeyaona hayo?
lowasa na genge lake tumbo joto.