Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Sicheki kwa furaha bali huzuni kuu kutokana na matendo yanayoendelea yasiyo ya kiutu yakiongozwa na uongo ulio dhahiri ambao tunalazimishwa tuuamini huku tukiendelea kupoteza upendo baina yetu na kuogopana kutokana na matukio na matamko. Je kizazi chetu kitarithi nini ikiwa tunatakiwa kutoukataa uongo na kupongeza uzandiki pindi utamkwapo na wenye mamlaka?Kaka haya masuala si ya kucheka kaka, ni masuala ya kuwakemea na kuwananga kwa nguvu zetu zote. Hili ni jambo la kufa na kupona kwa maisha ya Lissu na yetu pia. No time to waste bro...