Bunge letu kama taasisi limetangaza nafasi za kazi mbali mbali hivi karibuni.
Kilichotokea nafasi hizo zilikuwa na watu maalum wameandaliwa. Moja ya masharti kama kuwa HANSARD REPOTER lazima uwe na na diploma au digrii ya mambo ya habari na uzoefu wa MIAKA MIWILI.
cha ajabu wahitimu zaidi ya 15 toka chuo kimoja,darasa moja, ST.AUGUSTINE UNIVERSITY ambao wamehitimu NOV 2008 walitakiwa wawe na uzoefu wa Miaka miwili, wote wamekuwa short listed na wameitwa kwenye interview.Wengi wenye sifa toka vyuo vingine kama UDSM hawakuitwa.
Watu wengi wamelalamikia utaratibu huo wa ajira na mimi nimebahatika kuona barua rasmi iliyotumwa kwa DR.Thomas Kashishillah katibu wa bunge, kumtuhumu kufanya mazingaombwe kwenye ajira hizo, nakala ya barua hiyo imekwenda Ikulu, waziri mkuu, Takukuru, Waziri wa kazi na ajira, Waziri wa utawala bora, Usalama wa Taifa nk.
Kama BUNGE linashindwa kufanya mambo yake kwa kanuni na Taratibu wapi wataweza kufuata kanuni?
Kilichotokea nafasi hizo zilikuwa na watu maalum wameandaliwa. Moja ya masharti kama kuwa HANSARD REPOTER lazima uwe na na diploma au digrii ya mambo ya habari na uzoefu wa MIAKA MIWILI.
cha ajabu wahitimu zaidi ya 15 toka chuo kimoja,darasa moja, ST.AUGUSTINE UNIVERSITY ambao wamehitimu NOV 2008 walitakiwa wawe na uzoefu wa Miaka miwili, wote wamekuwa short listed na wameitwa kwenye interview.Wengi wenye sifa toka vyuo vingine kama UDSM hawakuitwa.
Watu wengi wamelalamikia utaratibu huo wa ajira na mimi nimebahatika kuona barua rasmi iliyotumwa kwa DR.Thomas Kashishillah katibu wa bunge, kumtuhumu kufanya mazingaombwe kwenye ajira hizo, nakala ya barua hiyo imekwenda Ikulu, waziri mkuu, Takukuru, Waziri wa kazi na ajira, Waziri wa utawala bora, Usalama wa Taifa nk.
Kama BUNGE linashindwa kufanya mambo yake kwa kanuni na Taratibu wapi wataweza kufuata kanuni?