chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,961
Bunge Limeahirishwa leo hadi kesho kumuenzi Samuel Sitta amabaye alikuwa spika wa bunge hilo
Wabunge wengi wamemzungumzia kwamba alipokuwa spika alisimamia vizuri bunge bila kujali itikadi za chama na bunge halikuingiliwa na mihimili mingine ya dola