Bunge laahirishwa, Kamati ya Maliasili yawaka moto!

Umeona eenhhh Hakuna kama Zitto ndani ya Chadema. Namshauri Mbowe na wenzake, kuliko kuogopa mapambano ndani ya chama na kuogopa kuangushwa na kijana mdogo ambaye amekukuta chamani lakini ana hoja nzito za uhakika na mwenye ushawishi mkubwa kwa wananchi ni bora ukamuweka karibu yako na kumpa nafasi itakujengea heshima kuliko mlivyofanya. Mnakimaliza Chama
 
Na Zitto karudia hoja ya Lisu kupewa taarifa ya kamati waipitie ameshangaa toka asbh mpaka saizi hawajapewa.


Hapo ndipo utakapoishangaa hii serikali yetu... Yaani kwa yeyote aliyeisikiliza report ikisomwa hawezi kukubali mambo yapitishwe juu juu.... Nimeshangaa na kusikitika kumbe nchi hii kuna watu wanateswa kiasi hicho...
 
sasa kama ccm amutaki upinzani why mnajifanya leo mnampenda ZZK mchukueni mkampe uenyekiti ili kusiwe na upinzani kabisa,mlishasema hayo kipindi cha DR Kaboulu?yupo kwenu ndio mwenyekiti wa kigoma mkoa wa kigoma
 
Umeona eenhhh Hakuna kama Zitto ndani ya Chadema. Namshauri Mbowe na wenzake, kuliko kuogopa mapambano ndani ya chama na kuogopa kuangushwa na kijana mdogo ambaye amekukuta chamani lakini ana hoja nzito za uhakika na mwenye ushawishi mkubwa kwa wananchi ni bora ukamuweka karibu yako na kumpa nafasi itakujengea heshima kuliko mlivyofanya. Mnakimaliza Chama

Hayo yako CCM wasiojiamini.
 
Lizaboni ulionaje zitto aliposema waziri wa kilimo atakuwa anaonewa na waziri mwenyewe kiti kikawa hakitoshi.
Hakika nilikuwa nasisimuka sana kwa jinsi Zitto alivyokuwa anatoa hoja. Ni hoja ile ile ambayo Lissu ameshindwa kulishawishi bunge ndiyo hiyo hiyo imempandisha chati Mheshimiwa Zitto. Hongera sana Zitto hakika wewe ni jembe lililokosa mlimaji
 
Kangi Lugola, Moses Machali, Zitto Kabwe, Tundu Lissu wamechachamaa. Naibu spika amelazimika kusitisha shughuli za bunge hadi hapo jioni ambapo kamati italazimika kuleta taarifa yake upya

siyo jioni.wamesema baada ya dk 30 bunge litarejea
 
Hapo ndipo utakapoishangaa hii serikali yetu... Yaani kwa yeyote aliyeisikiliza report ikisomwa hawezi kukubali mambo yapitishwe juu juu.... Nimeshangaa na kusikitika kumbe nchi hii kuna watu wanateswa kiasi hicho...

cha ajabu waziri husika unaweza kuka bado hajafungua kamusi kujua maana ya KUJIUZURU!
 
Umeona eenhhh Hakuna kama Zitto ndani ya Chadema. Namshauri Mbowe na wenzake, kuliko kuogopa mapambano ndani ya chama na kuogopa kuangushwa na kijana mdogo ambaye amekukuta chamani lakini ana hoja nzito za uhakika na mwenye ushawishi mkubwa kwa wananchi ni bora ukamuweka karibu yako na kumpa nafasi itakujengea heshima kuliko mlivyofanya. Mnakimaliza Chama

Zitto kwa matendo yake alifikiri anakimaliza chama. Chukua takwimu uone sasa chama kimepaa kiasi gani. Na atakapotoka mhaini Zitto chukua tena takwimu. Nakushauri tumia takwimu za Kigoma.
 
Waziri wa mifugo matayo matayo alitaka kusubishwa peke yake ma kamati,zito akadai iweje yeye peke yake wakati wizara ya ulinzi na ya mambo ya ndani pia vimehusika.?.
Niliona matayo kwenye kiti hapakaliki.
 
Back
Top Bottom