Haya ni matokeo ya kura za Azimio la Umoja wa Mataifa la Kupinga Ubaguzi wa Rangi ambao umeendelea kuwatesa hasa watu weusi duniani. Nchi zote za Ulaya na mataifa makubwa yamepinga Azimio hilo kwa kupiga kura ya Hapana (No-N) na nyingine kutopiga kura (Abstain -A).
Zoezi hilo limefanyika katika mkutano wa 75 wa UN General Assembly Sept-Okt. 2020. Matokeo haya yanatoa taswria ya kwamba ubaguzi wa rangi ni sera ya mataifa yote makubwa duniani kuwakandamiza hasa watu weusi. Food for thought!
Zoezi hilo limefanyika katika mkutano wa 75 wa UN General Assembly Sept-Okt. 2020. Matokeo haya yanatoa taswria ya kwamba ubaguzi wa rangi ni sera ya mataifa yote makubwa duniani kuwakandamiza hasa watu weusi. Food for thought!