Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,641
- 6,805
Labda atuambie mgunduzi wa camera alikuwa mmoja wa wajenzi wa BabeliNani alipiga picha Huyo mnara Wa baberi??
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda atuambie mgunduzi wa camera alikuwa mmoja wa wajenzi wa BabeliNani alipiga picha Huyo mnara Wa baberi??
Zama za kulazimisha mambo pasipo ushahidi wa kisayansi wa kukubalika zimepita.Hivi ni lazima kupiga picha ili uelewe huo mnara jinsi ulivyo? Hii elimu lemavu ya non theists ni lini mtaiacha?
Uelewa mdogo, ANZISHA MADA INAYOHUSU HILI SWALA UTAFAFANULIWA. HAPA mnapindisha mada husikaUmeshindwa kujibu hii, sema tu, nimeshindwa na hao hawana baba:
By kahtaan
Kubishana na Bwenga! Ni kupoteza muda tu.
Km wewe na WAKRISTO WOTE MNASEMA KWELI KUWA BIBLIA NI KITABU CHA MUNGU.
Hebu nitajie majina ya BABA ya WAANDISHI WA BIBILIA!
MARK...who?
MATHEW. ..who?
LUKE....who?
JOHN. ..who
Ukiweza Kunipa tu MAJINA YA BABA ZAO kwa USHAHIDI WA ANDIKO basi na mimi unanibatiza Bila maji Hata leo.!
La Huwezi basi ukubali kuwa HAWA WOTE NI WATOTO WA ZINAA waliozaliwa Mitaani wasiowajua BABA ZAO.
Nasubiri MAJINA YA BABA ZAO, tena sio wewe tu. NA MKIRISTO YYT ANAESOMA HAPA!
Sasa tazameni Wagalatia WATAKAVYO GEUZA UZI!
teh teh teh teh.
Mada ipi tena, si ujibu hoja hiyo.Uelewa mdogo, ANZISHA MADA INAYOHUSU HILI SWALA UTAFAFANULIWA. HAPA mnapindisha mada husika
We unaleta mabandiko badala ya kufuata utaratibu, Umeshauri Anzisha mada inayojikita kwenye hoja sio kutupia mabandiko. Hujui unajibishana na mtu wa namna gani. Nikutaarifu mie sipo kwenye na sitaki kusikia NENO DINI.Mada ipi tena, si ujibu hoja hiyo.
Mkuu mcharo son,unaweza kuelezea kujitoa kwa UK kwenye EU kunaweza kuwa na adhari gani katika utekelezaji wa nwo? Mfano mie binafsi naamini UK ana nguvu na ushawishi mkubwa kwenye ukanda huo,ndio maana hadi leo anapata ushawishi ajirudi kwenye umoja huo.Kuna mchambuzi mmoja nimependa sana uchambuzi wake wa ufunuo. Yeye amemchambua yule mnyama kuwa ni Taifa au muunganiko flani utakaoungwa na mataifa hayo (yaani hii EU). Watakaohusika kuunda ndio tafsiri ya namna mnyama alivyo fafanuliwa.
MNYAMA = NCHI AU TAIFA
Sio lazima yote yaliomo humo kwa sasa. Jeraha la mauti kasema ni PIGO/dholuba kwa nchi mojawapo zitakazounda 666. Nchi hii aliitaja kuwa ni Ujerumani. (ILIPATA PIGO LA MAUTI NA KUPONA) Iligawanywa na kupona katika jeraha hilo (YAANI kujiunga tena kama taifa) . SASA ajenda inaendelea. Ndio haya tuyaonayo na Dira kuu ni mambo yanavyoendelea pale Israel. Mwanamke mkuu yule kahaba alimtaja mchambuzi huyu kuwa ni VATICAN (fuatilia mavazi ya kahaba). itaanguka na kuisujudu hii kitu 666 inayoundwa na mataifa haya. Nabii wa uongo alimtaja kuwa ndio atakayeiporomosha vaticana na RC yote kwa kuiweka chini ya hii 666. PApa atatakayekalia kiti kipindi hicho (haijulikani kama ni huyu au ajaye) ndio atakuwa mtekelezaji mkuu wa kuiweka RC. YOTE CHINI YA 666.
Kwanza tambua UK ni muunganiko wa vitaifa vidogo ndio mana ikaitwa UK. Yaweza kabisa kuwa ndio hizo zinang'oka na kupisha moja itakayochomoza hapo hapo halafu zinarudi kinamna. Tusubiri muda utaamua hili.Mkuu mcharo son,unaweza kuelezea kujitoa kwa UK kwenye EU kunaweza kuwa na adhari gani katika utekelezaji wa nwo? Mfano mie binafsi naamini UK ana nguvu na ushawishi mkubwa kwenye ukanda huo,ndio maana hadi leo anapata ushawishi ajirudi kwenye umoja huo.
Au UK ni miongoni mwa zile pembe 3 zilizong'oka na kupisha pembe moja ndogo yenye kunena kufuru? Shukrani sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mmoja anaweza kutoa maoni yake kuhusu unabii na kila kinachoendelea duniani kwa sasa lakini unabii usipimwe kwa maelezo ya watu fulani bali maelezo ya watu hao yapimwe kwa unabii husika....Kuna mchambuzi mmoja nimependa sana uchambuzi wake wa ufunuo. Yeye amemchambua yule mnyama kuwa ni Taifa au muunganiko flani utakaoungwa na mataifa hayo (yaani hii EU). Watakaohusika kuunda ndio tafsiri ya namna mnyama alivyo fafanuliwa.
MNYAMA = NCHI AU TAIFA
Sio lazima yote yaliomo humo kwa sasa. Jeraha la mauti kasema ni PIGO/dholuba kwa nchi mojawapo zitakazounda 666. Nchi hii aliitaja kuwa ni Ujerumani. (ILIPATA PIGO LA MAUTI NA KUPONA) Iligawanywa na kupona katika jeraha hilo (YAANI kujiunga tena kama taifa) . SASA ajenda inaendelea. Ndio haya tuyaonayo na Dira kuu ni mambo yanavyoendelea pale Israel. Mwanamke mkuu yule kahaba alimtaja mchambuzi huyu kuwa ni VATICAN (fuatilia mavazi ya kahaba). itaanguka na kuisujudu hii kitu 666 inayoundwa na mataifa haya. Nabii wa uongo alimtaja kuwa ndio atakayeiporomosha vaticana na RC yote kwa kuiweka chini ya hii 666. PApa atatakayekalia kiti kipindi hicho (haijulikani kama ni huyu au ajaye) ndio atakuwa mtekelezaji mkuu wa kuiweka RC. YOTE CHINI YA 666.
Kipindi cha uandishiwa agano jipya lugha iliyotumika ni Kiyunani[Kigiriki] siyo Kiebrania hata agano jipya liliandikwa kwa Kigiriki pia....Hiyo formula nani kakufundisha uitumie. Ninachojua Neno la ufunuo kipindi hicho lilishushwa kwa lugha ya Kihebrania na kuna mfumo wa namba wa kiebrania ndio unatakiwa kukokotoa kupata jumla ya 666. Sasa hii yako sijui ya wapi! Kama ufunuo ulishushwa kwa kirumi basi namba za kirumi zitahusika. SASA kwa taarifa yako Ukitumia namba za Kiebrania (google ujifunze) ukajumlisha utakachopata leta hapa. Wote wasiotumia namba za lugha hiyo wanapata majina mengi jumla yake ni 666. Mungu hakuwa mjinga kutumia lugha ya Hebrew kushusha kitabu cha ufunuo.
Now Sir, lets go this way.........Huyu mchambuz, by the way Mie ni mzaliwa wa JUZi tu sasa mambo ya nyuma lazima tuangalie wachambuz wamepitaje na sisi tunapitaje. Mchambuz alienishawishi kacoment number system nyingi zimeanzia kwa Wagiriki kama ulivyosema. SASA Hebrew (hata English) pia mahesabu yake yametokea huko huko. Na yeye alipata HESABU SAWA KWA KUTUMIA HERUFI ZA ALPHABET AMBAZO chanzo ni GREEk nimenukuu his comment. Ukitumia jina kwa alphabet za english hesabu 666, ukitumia Hebrew unapata 666 kama nilivyoonyesha kwenye post huko nyuma. sasa basi nanukuu....Kipindi cha uandishiwa agano jipya lugha iliyotumika ni Kiyunani[Kigiriki] siyo Kiebrania hata agano jipya liliandikwa kwa Kigiriki pia....
Asante mcharo son. Kwa maana hiyo kama prince Charles wa Wales ndio anawakilisha 666 na sio cheo,je inakuwaje kwa vizazi vitakavyokuja na vilivyopita kuhusu tafsiri ya 666 ambapo Charles alikuwa hajazaliwa/kutambulika na baada ya kufa kwake? Hii maana wataipata wapi?Kwanza tambua UK ni muunganiko wa vitaifa vidogo ndio mana ikaitwa UK. Yaweza kabisa kuwa ndio hizo zinang'oka na kupisha moja itakayochomoza hapo hapo halafu zinarudi kinamna. Tusubiri muda utaamua hili.
Kwanza napenda kukufahamisha kuna ushahidi wa kiufunuo amba unaonyesha kuwa Hiyo pembe ndogo ndio itatoka hapona kiongozi ambaye atashikilia jina la 666 atatoka hapo. Yupo hai na ufunuo imemtamka na wachambuzi ambao MIE NAWAKUBALI WAMEmCHAMBUA, NIKAFUATILIA VIGEZO NIKAONA KUNA UKWELI. Anasubiri wakati wake aanze kazi.
Hapa NGOJA nikupe uchambuzi mfupi, FUATILIA NA TAFAKARI mana najua watu wengi wapo chaka.
Kwanza nilisema na nitaendelea kusema kuwa; ufunuo na vitabu karibu vyote vya bible vimeshuka katika lugha ya kiebrania (Hebrew language) Hii lugha ina namba zake na ndizo kanuni ya namba hizi zinatakiwa zitumike kupata hesabu ya 666.
View attachment 549805
- Kwanza Sio namba za kirumu kwa sababu lugha ya ufunuo sio kirumi. Iweje uoteshwe kwa kanuni za kimakonde halafu ukaenda kutafsiri kwa kanuni za kizigua. Utapata jibu potofu. Sasa watu wengi wameingia chaka kila mtu anabuni njia zake kukidhi matakwa yake. Chanzo ndio unasikia mara papa ndio 666 mara muhamad na wengine wengi. Ukihesabu majina yao kwa kanuni ya namba za kiebrania, hupati hizo jumla ya 666. Hapa Mungu ndio mna alichagua lugha hii. Pia kwenye hoja hiyo hiyo yeye alichambua jina la mtoto wa malkia wa Uingereza (UK) kwa kutumia kanuni za kiebrania akapata hesabu kamili ya 666.
- Pia kuna vigezo vingi ambavyo vinamuangukia huyu muhusika. Kwa lugha ya kiuchambuzi tunamuita kuwa ndio first candidate anayefiti vigezo vya 666 kama vilivyoainishwa kwenye ufunuo. Japo kuna vigezo vingine bado havijajitokeza ambavyo wachambuzi wanategemea JINSI MUDA unavyoenda ndivyo vitajihidhilisha wazi. Fuatilia tabia ya Huyu mtu
- Wachambuzi wamechambua kuwa kuna vigezo kama 42 ambavyo huyu 666 lazima awe navyo vilivyowekwa katika bible. Yeye katimiza karibu nusu na kubwa la yote ni hesabu ya jina lake (Nitakupa chati ya mahesabu kwa kiebrania). Waweza fuatilia kwa faida yako hasa kwa kutambua uzito wa jambo. Tusiwe watu wa kufuata kauli bila kuangalia kwa kina.
Ufafanuzi wa hiyo chati;
Kanuni za kihesabu zilizotumika ni kufuatana na masharti ya Hebrew number system (taratimu za kihesabu kufuatana na kiebrania) kwa wasiojua Kiebrania = Hebrew
Hizi ni hesabu za kawaida na biblia imesisitiza hilo kuwa mwenye hekima na ahesabu namba ya jina hili. Biblia ilisema mwenye hekima ikimaanisha kutumia hekimaya kwanza JINSI UFUNUO ULIVYOSHUSHWA, hapa maana yake lugha ya Kiebrania. SASA HAWA WATU WANAOTUMIA UTARATIBU WA KIRUMI AU KIJERUMANI WANAFUATA HEKIMA iliyosisitizwa kwenye bible kuhusu hesabu hii 666, JIBU ni SIO. na ndio chanzo cha kutudanganya. Nimefafanua kwa kirefu sana mana hiki kipengere KIMEPOTOSHWA NA WENGI. PAMOJA NA MUELEKEZO HUO MCHAMBUZI HUYO ANASEMA MSHUKIWA MKUU ndie huyo, sasa wengine wanachukuo mabandiko na kuja hapa JF wananyoshea watu vidole bila kupata vigezo vyote.
- sasa Kolum (column) ya kwanza ni herufi za kiingereza ambapo unaweza chukua kama jina lako, herufi zake ukalinganisha na NAMBA/hesabu yakwe kwa kiebrania. Mfano V kwa kiebrania hesabu yake ni 400 wakati warumi kwao V=5. Pia W =0 hapa Wengi waliofutiria utaratibu wa Kijerumani ndio wameingia chaka(wanakosea). kwani wao V=W Hawa ndio wale wanaokuja na jina la papa kuwa ni 666
- Column inayofuata ni matamshi ya hizo herufi kwa Hebrew.
- Column ya tatu ni hesabu ya hizo herufi kwa kufuata mfumo wa kiebrania japo zipo kwa namba tunazoweza kuzisoma. mfano hesabu ya herufi "I" ni 9 ambapo warumi kwao "I" ni 1 moja
- Column ya nne ndio hesabu za jina Prince Charles of Wales zilivyokokotolewa mpaka kupata jumlaa 666. Hapo kwenye blue Hilo ndilo official name ya mtoto wa malkia wa UK ambaye atakuja ridhi kiti cha ufalme baada ya malkia aliyekuwepo. Kwenye ufunuo kuna sehemu ameandikwa kama "prince" na kweli ni prince. Jina Hilo mfano ni sawa na Kutamka Jakaya Mrisho Kikwete anavyotambulika na serikali.
- Column ya mwisho imefanywa kudhibitisha kwa kutumia kila kitu kwa Hebrew naya ikakubali 666 (nyie mnaoleta majina yenu mnaipata hii, ingizeni majina yenu hapo muone mtapata jumla ngapi)
Na mwenye HEKIMA AYAPIME MANENO YANGU nukta. (Ukitaka uchambuzi zaidi kipengere kwa kipengere karibu) kwa wale wenye maswali ya kishabiki sitajibu mana sipo kwa ajili ya ushabiki kama ule wa MPIRA. Pia nimalizie kwa kujulisha kuwa huyu amezaliwa kipindi Taifa jipya la Israel linaundwa (walipopata uhuru 1948) na ndio (inavyotazamiwa) atakayekuja tambulishwa kama mwokozi wao mpya na huyo nabii wa uongo pale wakati na majira yakitimia.
uFUNUO UNASEMA 666 NI JUMLA YA JINA LA MTU sio cheo. na Mungu kaiweka hivyo ili watu wake wamtambue. Kama cheo ni vigumu kujua yupi ni yupi mana vyeo ni nafasi mfano ya Papa.Asante mcharo son. Kwa maana hiyo kama prince Charles wa Wales ndio anawakilisha 666 na sio cheo,je inakuwaje kwa vizazi vitakavyokuja na vilivyopita kuhusu tafsiri ya 666 ambapo Charles alikuwa hajazaliwa/kutambulika na baada ya kufa kwake? Hii maana wataipata wapi?
Kama binadamu huyu mtu atakufa siku si nyingi kulingana na umri wake na hapo italeta mkanganyiko miongoni mwa watafsiri wa kitabu cha Mungu kuhusu 666.
Kuna hoja moja umeisema kuhusu udogo wa UK kwenye jumuiya ya ulaya,sasa nani anamsapoti kumuachia utawala wa dunia na udogo wake huu katika katika dunia na hasa ikizingatiwa uhasama uliopo kati yake na super power Germany.
Na mwisho kabisa kwanini anajitoa kwenye muunganiko wakati muhimu kama huu? Nitashukuru kwa ufafanuzi zaidi ndugu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchambuzi ambaye nakubaliana nae katika uchambuzi, naomba niweke nukuu yake kuongezea point niliotoa kuhusu hesabu ya 666, nanukuu..SALA NA KAZI pitia na hapa....
Tulijadili mengi kipindi hicho lakini ni "valid" hadi leo...
Unaweza kuchangia hapa pia....
Huyu mnyama wa pili ni nabii wa Uongo yule atakayeDanganya watu kuwa 666 ndie anapaswa kuabudiwa. Atafanya ishara nyingi na miujiza mpaka watu watamuamini. Uchambuzi wake wa atakuwa yupi ngoja tusubiri watu watatupia nini na tutalinganisha na bible. Wakila kona au wakija na uchambuzi fake nitatupia wangu, taratibu tunaweza kukubaliana japo kama akilengwa kiongozi wako wa dini na vigezo vikimthibitisha watu wasing'ake. Mana yeye atatokea kutoka nafasi flani ya cheo cha kidini na ndio atamthibitisha huyu 666 amabaye kwanza atakuwa political leader. Sasa kazi ya huyu nabii wa uongo ni kumfanya huyu political leader awe religion leader as well(kiongoz wa kidini) Hivyo nafasi yake yeye ataibukia kwenye dini flani siitaji kwa sasa, mana nao ni mjadala mrefu (mada yake)
Imeandikwa Pia kwa Mtu yeyote atakaye kubali kutiwa chapa ya mnyama kwenye paji la Uso au mkono wa kulia atapata adhabu sawa na huyo mnyama... Ufalme wa Mungu tunautafuta kwanza kwa kukataa chapa ya huyo mnyama. Na tutaikataa kwa kumjua kwanza huyo mnyama ni nani..
Ndiyo hata kama wanamaanisha hivyo kwanini waweke 60 60 60 tatu.? Na umeshawahi kujiuliza na Kusoma why kiti namba 666 hakina mtu?
Pia kuna Mnyama wa Pili kwenye UFUNUO 13 ana pembe mbili kama mwanakondoo...
Ulishawahi kupitia hapo?
kipindi cha Nuhu kuna watu walisema kama wewe, so mimi sishangai unavyosemaTatizo me cojaona tija yoyote iliyojitokeza inayoonekana tangu haya masuala yaaanze kujadiliwa ktk mitandao mbalaimbalai ya kijamii na makongamano.cha zaidi nachokiona ni kutishana tu na kupelekea kuibuka wachungaji kibao wakitumia michoro na mambo kibao kupga sadaka na kisha kujikusanyia utajiri lakini mambo yanabaki vilevile.me naona ni mbinu za kumjaza binadamu woga aache kujadili mambo ya msingi na kujikuta anaweka efforts kubwa kujadili vitu vya kufikilika ambavyo havina mahusiano ya moja kwa moja na. Maisha take ya kila siku.
Unamaanisha nini unaposema kuwa mambo yote siku za mwisho tunaangalia Israeli?mwisho wa kunukuu, sasa nikuulize kitu, Mambo yote ya Siku za mwisho JICHO na attension yote tunaangalia Israel (hapo tunakubaliana) Mungu akiwapa ujumbe watu wake ana address Waisrael, na aliwaambia kuwa huyo 666 atakuja Israel kutokea North. Sasa watamtambuaje jina lake? Watatumia namber system za kijerumani (kirumi) au za kwao? JE MIMI NIKIMTAMBUA KWA KUTUMIA HEBREW SYSTEM NITAKUWA NIMEKOSEA( Japo nilivyosema ufunuo ulishuka kwa Hebrew yawezekana nimekosea) BUT walengwa (Israel) wanaotakiwa kufanyia kazi watumie utaratibu upi kumjua huyu 666?
By the way huyo mchambuzi ni Muislael (kitu kama Myahudi)