Observer
Senior Member
- Oct 18, 2006
- 188
- 290
Wabunge wa Uingereza leo tena wamekataa deal la Waziri Mkuu Theresa May la kujitoa kwenye umoja wa Ulaya , kwa kura 344 kwa 286
Theresa May alifikia makubaliano na Umoja wa Ulaya juu ya namna ya Uingereza itajitoa kwenye umoja huo, ila makubaliano hayo inabidi yapitie bungeni ili kupitishwa
Ikumbukwe hii ni mara ya 3 sasa kwa deal la Theresa May kukataliwa na bunge la Uingereza
Nini hatima ya Theresa May na uwepo wa Uingereza kwenye Umoja huo wa Ulaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Theresa May alifikia makubaliano na Umoja wa Ulaya juu ya namna ya Uingereza itajitoa kwenye umoja huo, ila makubaliano hayo inabidi yapitie bungeni ili kupitishwa
Ikumbukwe hii ni mara ya 3 sasa kwa deal la Theresa May kukataliwa na bunge la Uingereza
Nini hatima ya Theresa May na uwepo wa Uingereza kwenye Umoja huo wa Ulaya
Sent using Jamii Forums mobile app