Bunge la Tanzania linafanya kazi kama wacheza NGOJERA.
Katika ngonjera, washiriki huanza kama kubishana lakini, mwishoni lazima wakubaliane.
Hakuna ngonjera inayoishia kwa kutokubaliana.
Hivyo ndivyo bunge letu watanzania lilivyo.
Hakuna bajeti yoyote itakayoachwa kupitishwa na wabunge hata kama ni uozo mtupu. Mwanzo huwa wanabishana sana na kutishia kuondoa shilingi: lakini mwishoni lazima bajeti ipite kwa maana kwamba wabunge wote wamekubaliana.
Hii ni ngonjrea tupu.
Wana jamii mwasemaje?
Katika ngonjera, washiriki huanza kama kubishana lakini, mwishoni lazima wakubaliane.
Hakuna ngonjera inayoishia kwa kutokubaliana.
Hivyo ndivyo bunge letu watanzania lilivyo.
Hakuna bajeti yoyote itakayoachwa kupitishwa na wabunge hata kama ni uozo mtupu. Mwanzo huwa wanabishana sana na kutishia kuondoa shilingi: lakini mwishoni lazima bajeti ipite kwa maana kwamba wabunge wote wamekubaliana.
Hii ni ngonjrea tupu.
Wana jamii mwasemaje?