Bunge la Seneti nchini Kenya limepiga kura kumuondoa Mike Mubuvi Sonko kama gavana wa Nairobi, katika hatua ambayo imekomesha miaka mitatu ya utawala

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,498
9,279
Bw. Sonko anatuhumiwa kwa ukiukaji wa katiba, utumizi mbaya wa mamlakaa, utovu wa nidhamu na uhalifu chini ya sheria.

Maseneta 27 walipiga kura kuunga mkono kuondolewa ofisini kwa Bw Sonko kwa kudumisha mashtaka yote manne yaliyowasilishwa na Bunge la Kaunti ya Nairobi, ambalo lilipiga kura ya kutokuwa na imani naye mnamo Desemba 3.

Kuondolewa madarakani kwa Bw. Sonko kumetoa nafasi kwa Spika wa Bunge la Kaunti ya Nairobi Ben Mutura kushikilia wadhifa huo hadi uchaguzi wa gavana na naibu wake utakapofanywa katika kipindi cha siku 60 zijazo.

sonko.jpg
 
Bw. Sonko anatuhumiwa kwa ukiukaji wa katiba, utumizi mbaya wa mamlakaa, utovu wa nidhamu na uhalifu chini ya sheria.

Maseneta 27 walipiga kura kuunga mkono kuondolewa ofisini kwa Bw Sonko kwa kudumisha mashtaka yote manne yaliyowasilishwa na Bunge la Kaunti ya Nairobi, ambalo lilipiga kura ya kutokuwa na imani naye mnamo Desemba 3.

Kuondolewa madarakani kwa Bw. Sonko kumetoa nafasi kwa Spika wa Bunge la Kaunti ya Nairobi Ben Mutura kushikilia wadhifa huo hadi uchaguzi wa gavana na naibu wake utakapofanywa katika kipindi cha siku 60 zijazo.

Wanapoteza mda, huyo gangster atarudi tena kwa Kupitia ballot box..
 
Huyu alikuwa Gavana kwasababu ya uswahiba wake na Kenyatta
 
Back
Top Bottom