Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,498
- 9,279
Bw. Sonko anatuhumiwa kwa ukiukaji wa katiba, utumizi mbaya wa mamlakaa, utovu wa nidhamu na uhalifu chini ya sheria.
Maseneta 27 walipiga kura kuunga mkono kuondolewa ofisini kwa Bw Sonko kwa kudumisha mashtaka yote manne yaliyowasilishwa na Bunge la Kaunti ya Nairobi, ambalo lilipiga kura ya kutokuwa na imani naye mnamo Desemba 3.
Kuondolewa madarakani kwa Bw. Sonko kumetoa nafasi kwa Spika wa Bunge la Kaunti ya Nairobi Ben Mutura kushikilia wadhifa huo hadi uchaguzi wa gavana na naibu wake utakapofanywa katika kipindi cha siku 60 zijazo.
Maseneta 27 walipiga kura kuunga mkono kuondolewa ofisini kwa Bw Sonko kwa kudumisha mashtaka yote manne yaliyowasilishwa na Bunge la Kaunti ya Nairobi, ambalo lilipiga kura ya kutokuwa na imani naye mnamo Desemba 3.
Kuondolewa madarakani kwa Bw. Sonko kumetoa nafasi kwa Spika wa Bunge la Kaunti ya Nairobi Ben Mutura kushikilia wadhifa huo hadi uchaguzi wa gavana na naibu wake utakapofanywa katika kipindi cha siku 60 zijazo.