mtoto mzee
Member
- Nov 10, 2011
- 38
- 4
naamini wabunge waliokuwa bungeni leo, hata wasingeenda. Hakuna walichofanya zaidi ya kupiga vijembe WANAHARAKATI. Sijui ndo mswada wa leo........! Tusubiri mwisho wao utakuaje!
Mswada wa leo ilikua ni kumtukana Lissu.naamini wabunge waliokuwa bungeni leo, hata wasingeenda. Hakuna walichofanya zaidi ya kupiga vijembe WANAHARAKATI. Sijui ndo mswada wa leo........! Tusubiri mwisho wao utakuaje!