Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 1,112
- 1,887
Nchi ya Marekani ndiyo muamuzi wa Dunia. Mbungea wa Kenya amemlaumu balozi wa Marekani kuwa ndiye anayeeneza ushoga nchini Kenya, pia amesema Marekani ndiyo inayoharibu dunia
Ukweli ni kuwa Kenya hailingani na Marekani hata theluthi hivyo haiwezi kupingana na Marekani, Marekani wakiamua Kenya iwe ya Mashoga basi itakuwa hivyo kwasababu wana nguvu kubwa duniani
Kwa kashfa alizopewa balozi wa Marekani nchini Kenya zitawafanya Marekani kuongeza kasi ya kuwabadilisha wakenya kuwa Mashoga kwasababu wao hawashindwi kufanya lolote watakalo hapa duniani
Kama ushoga ni agenda ya Marekani basi itafanikiwa kwasababu wana nguvu kubwa sana,
Museveni wa Uganga amepinga anaweza kufanikiwa lakini kama ni agenda ya Marekani hataweza kupingana nao sana sana ataishia kwenye matatizo makubwa sana kwasababu hakuna raisi aliyepingana na Marekani akabaki salama
Ukweli ni kuwa Kenya hailingani na Marekani hata theluthi hivyo haiwezi kupingana na Marekani, Marekani wakiamua Kenya iwe ya Mashoga basi itakuwa hivyo kwasababu wana nguvu kubwa duniani
Kwa kashfa alizopewa balozi wa Marekani nchini Kenya zitawafanya Marekani kuongeza kasi ya kuwabadilisha wakenya kuwa Mashoga kwasababu wao hawashindwi kufanya lolote watakalo hapa duniani
Kama ushoga ni agenda ya Marekani basi itafanikiwa kwasababu wana nguvu kubwa sana,
Museveni wa Uganga amepinga anaweza kufanikiwa lakini kama ni agenda ya Marekani hataweza kupingana nao sana sana ataishia kwenye matatizo makubwa sana kwasababu hakuna raisi aliyepingana na Marekani akabaki salama