Geofrey Andrew Sanga
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 251
- 55
Ndugu zangu watanzania bila shaka kesho linaanza bunge maalum la katiba na litakuwa na mwenyekiti wake na kwa kuwa ilikuwa zamu ya wanawake kuongoza bunge ni dhahiri sasa ni zamu ya wanaume na kuwa mzee samweli 6 alionekana kulimudu sana kuongoza bunge lenye mikiki ya akina slaa na sasa imeonekana huyu wa sasa ameshindwa kabisa kumudu bunge la sasa la akina halima mdede na akina filikunjombe na kwa kuwa ccm ina wabunge wengi ni dhahiri wakiamua wanaweza kutoa mwenyekiti wa bunge la katiba mimi nashauri SAMWELI SITA ANAFAA ZAIDI NA KAMA NI UPINZANI BASI TUNDU LISSU ANAFAA ZAIDI NA KAMA VIPI TUPATE SPIKA ASIYE KUWA MBUNGE WA BUNGE LA KATIBA ITAKUWA POA ZAIDI