President Elect
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 693
- 212
Baada ya Rais Jakaya Kikwete kushindwa kuchukua maamuzi magumu, hususan dhidi ya vitendo dhahiri vya ubadhirifu na uporaji wa raslimali za nchi yetu, hatimaye bunge letu tukufu limeanza kushika hatamu za utawala.
Leo asubuhi, naibu spika ameitisha kikao cha kamati ya uongozi ya bunge, ili kuamua juu ya hoja ya kusitisha shughuli za serikali bungeni.
Serikali ijirekebishe haraka, la sivyo itaanguka polepole!
Kashfa ya D. Jairo inahusika, bunge limedhalilishwa sana!
Leo asubuhi, naibu spika ameitisha kikao cha kamati ya uongozi ya bunge, ili kuamua juu ya hoja ya kusitisha shughuli za serikali bungeni.
Serikali ijirekebishe haraka, la sivyo itaanguka polepole!
Kashfa ya D. Jairo inahusika, bunge limedhalilishwa sana!