S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,616
- 32,722
Wanaacha mambo ya msingi wanaelekeza nguvu kwenye mambo ya kipumbavu
Lingekuwa ni bunge la wananchi lingeangazia kuhusu rushwa, uvunjifu wa haki za binadamu na utawala wa sheria katika kila engo
Lingekuwa ni bunge la wananchi lingeangazia kuhusu rushwa, uvunjifu wa haki za binadamu na utawala wa sheria katika kila engo