Bunge la CCM watupu litatuletea ukabila na udini

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,780
141,667
Pamoja na mapungufu ya vyama vya upinzani lakini bado vinasaidia kumantain umoja wa kitaifa.

Sipati picha katika mazingira ya sasa hali ndani ya bunge la chama kimoja itakuwaje......na hasa nikikumbuka wosia wa mwalimu Nyerere kuhusu kula nyama.

Nilimsikia mkurugenzi wa TIC mr Mwambe anasema viongozi tunakanyagana wenyewe kwa wenyewe sasa mkanyagano huo unaweza ukawa unaanzia bungeni tena kwa vigezo vya udini na ukabila maana wakati huo hapatakuwepo Cuf wala Chadema.

Niwatakie usingizi mnono

Maendeleo hayana vyama!
 
Mchanganyiko huleta ladha nzuri, ndio maana tunaona wapishi wa mboga hujitahidi kuweka viungo ili kuleta ladha.

Maua yakiwa ya aina moja katika bustani hayapendezi, yakiwa mchanganyiko macho hufurahi.

Mawazo mbadala ni muhimu katika ujenzi wa taifa, wapinzani wanahitajika sana ili kuisaidia serikali iliyopo madarakani.
 
Niliwahi kusema umoja wa ccm unaletwa kwa sababu wanapata ushindani stahiki toka kwa upinzani, lakini upinzani ukifa ushindani utaokabaki ndani ya ccm ni wa ukabila, ukanda na Udini. Nikasisitiza Magufuli anavyochezea box la kura watu wanakaa kimya na kwakuwa ccm haiwezi kushindana tena na upinzani wanaona sawa. Lakini ni dhahiri ushindani utakaoingia ni mtu wa kabila letu, kanda yetu au dini yetu na sisi tuneemeke.

Kwa kuanzia sasa baada ya wapinzani kunyimwa kufanya siasa tunaona miradi ya upendeleo wa kimadararaka na hata vyeo. Inapandwa mbegu ya hatari na kundi dogo lililojificha ndani ya uzalendo na watu wamefumba macho. Box la kura linachezewa watu hawaamki tu. Itafikia mahali kabila fulani au dini fulani haitashinda kwenye uchaguzi kwani tutakuwa tumeruhusu rais kuamua nani awe mshindi. Bora mmeanza kuamka lakini naona mmechelewa.
 
Pamoja na mapungufu ya vyama vya upinzani lakini bado vinasaidia kumantain umoja wa kitaifa.

Sipati picha katika mazingira ya sasa hali ndani ya bunge la chama kimoja itakuwaje......na hasa nikikumbuka wosia wa mwalimu Nyerere kuhusu kula nyama.

Nilimsikia mkurugenzi wa TIC mr Mwambe anasema viongozi tunakanyagana wenyewe kwa wenyewe sasa mkanyagano huo unaweza ukawa unaanzia bungeni tena kwa vigezo vya udini na ukabila maana wakati huo hapatakuwepo Cuf wala Chadema.

Niwatakie usingizi mnono

Maendeleo hayana vyama!
Ni muda muafaka sasa Serikali ipige marufuku majadiliano ya wabunge bungeni hususani katika bunge la bajeti
 
Pamoja na mapungufu ya vyama vya upinzani lakini bado vinasaidia kumantain umoja wa kitaifa.

Sipati picha katika mazingira ya sasa hali ndani ya bunge la chama kimoja itakuwaje......na hasa nikikumbuka wosia wa mwalimu Nyerere kuhusu kula nyama.

Nilimsikia mkurugenzi wa TIC mr Mwambe anasema viongozi tunakanyagana wenyewe kwa wenyewe sasa mkanyagano huo unaweza ukawa unaanzia bungeni tena kwa vigezo vya udini na ukabila maana wakati huo hapatakuwepo Cuf wala Chadema.

Niwatakie usingizi mnono

Maendeleo hayana vyama!
Mwambie baba yako anacheza na moto
 
Ili lijamaa saa zingine lina akili na kuna muda alina kabisa,huwa lina homa ya vipindi.
Halafu hili lijamaa johnthebaptist huwaga halinaga hasira na hapo ndo nalipendaga. Likiwa haliko period linakuwa na akili sana. Vipi yule Korongo a.k.a Morab Stock a.k.a ndege JOHN hivi alikuwa kaibiwa simu au aliamua kujitoa ufahamu na kuokoka? Maana tangu juzi achanganyikiwe sijamuona jukwaani kabisa.
 
Back
Top Bottom