Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,657
- 22,254
Miaka mingi iliyopita Bunge la bajeti lilikuwa linapanga mapato na matumizi ya serikali kuu, ni kweli hata mwaka huu lilipanga hivyo lakini tofauti na huko nyuma hivi sasa pesa za matumizi ya pesa hayatolewi na serikali kuu bali yanatolewa kwenye pesa za Rais!
Swali, pesa zinazotengwa na Bunge la bajeti zinatumika nchi gani?
Swali, pesa zinazotengwa na Bunge la bajeti zinatumika nchi gani?