Mtu wa Mungu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 444
- 19
Source: Gazeti mojawapo la leo 7.3.2011
Kwamba katika muswada wa kuanzisha mchakato wa kuandika katiba mpya utakaowasilishwa katika kikao cha bunge kinachoanza 5.4.2011 serikali itazingatia hoja zote za msingi wa demokrasia kama alivyoainisha Mbunge wa Bunge la EU, Mhe. David Martin katika ripoti yake:-
(1) Matokeo ya kura za rais kuhojiwa mahakamani;
(2) Tume huru ya uchaguzi iliyo nje ya serikali;
(3) Mgombea binafsi kuruhusiwa;
(4) Wakurugenzi wa Serikali za Mitaa kutoshirikishwa katika mchakato wa uchaguzi;
(5) Waandishi kuruhusiwa kuandika habari za hatua zote za uchaguzi;
Aidha serikali imejikomit kwamba wananchi watashiriki vikamilifu katika mchakato mzima wa kuandika katiba hiyo mpya.
La kufariji katika hili ni kwamba haya ni masharti ya wafadhili ambayo CCM ikijaribu kuingiza ujanja ujanja itanasa tu, maana nguvu ya umma ambayo CDM wananoa, itakuwa macho kuhakikisha kwamba hata yule spika wao kule bungeni atadhibitiwa na serikali kivuli ya CDM-huku nje umma ukisubiri kwa hamu kudhibiti vitendo vyo vyote kwa kumpigia kelele Mhe David Martin; kuhakikisha kwamba sauti ya umma ndiyo inatawala!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwa vile idadi ya waTz walio na CCM moyoni wamebaki wachache, mchakato huu kwa CCM ni KITANZI!!!!!!!!!!!!??????????!!!!!!!!!kwa chaguzi baada ya katiba hii kuanza kutumika wakati wo wote hata kabla mwaka huu 2011 kuisha?????!!!!!!!!!!!!!
Kwa serikali ya Kikwete-no katiba mpya no money kutoka kwa wafadhili- na ndiyo mwisho wa CCM!!!!!!!!!!!!!!!
Kwamba katika muswada wa kuanzisha mchakato wa kuandika katiba mpya utakaowasilishwa katika kikao cha bunge kinachoanza 5.4.2011 serikali itazingatia hoja zote za msingi wa demokrasia kama alivyoainisha Mbunge wa Bunge la EU, Mhe. David Martin katika ripoti yake:-
(1) Matokeo ya kura za rais kuhojiwa mahakamani;
(2) Tume huru ya uchaguzi iliyo nje ya serikali;
(3) Mgombea binafsi kuruhusiwa;
(4) Wakurugenzi wa Serikali za Mitaa kutoshirikishwa katika mchakato wa uchaguzi;
(5) Waandishi kuruhusiwa kuandika habari za hatua zote za uchaguzi;
Aidha serikali imejikomit kwamba wananchi watashiriki vikamilifu katika mchakato mzima wa kuandika katiba hiyo mpya.
La kufariji katika hili ni kwamba haya ni masharti ya wafadhili ambayo CCM ikijaribu kuingiza ujanja ujanja itanasa tu, maana nguvu ya umma ambayo CDM wananoa, itakuwa macho kuhakikisha kwamba hata yule spika wao kule bungeni atadhibitiwa na serikali kivuli ya CDM-huku nje umma ukisubiri kwa hamu kudhibiti vitendo vyo vyote kwa kumpigia kelele Mhe David Martin; kuhakikisha kwamba sauti ya umma ndiyo inatawala!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwa vile idadi ya waTz walio na CCM moyoni wamebaki wachache, mchakato huu kwa CCM ni KITANZI!!!!!!!!!!!!??????????!!!!!!!!!kwa chaguzi baada ya katiba hii kuanza kutumika wakati wo wote hata kabla mwaka huu 2011 kuisha?????!!!!!!!!!!!!!
Kwa serikali ya Kikwete-no katiba mpya no money kutoka kwa wafadhili- na ndiyo mwisho wa CCM!!!!!!!!!!!!!!!