Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,565
- 15,920
Katika mantiki kwa hali hii ya kuwa na wabunge wa chama kimoja kwa asilimia mia moja. Hatuwezi kutenganisha vikao vya chama na bunge la nchi. Hii ni hatari kwa mustakabali wa Maendeleo ya nchi yetu. Otherwise tubadili katiba ya nchi kuwa na mfumo wa chama kimoja.
Nawasilisha.
Nawasilisha.