mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
mheshiwa kikuku chalegea hicho kwenye guu, nimeona VK kakivaa sawa sawa kabisa
wote mlioandika kuhusu wakina mama mnahitaji msaada wa uelewa kwamba binadamu wote ni sawa na wanamama ndio wenye busara kuliko zenu mmejionyesha kwa uandishi wenu wa kudhrau wanawake. POLENI NATAMANI MUENDE KOZI YA GENDER. NADHANI HAMJASOMA POLENI SANA . pIA HAMNA HESHIMA . ppOLENI SANA NA nIMEWASAMEHE BURE
Kama mdau alivyonena hapo juu si vyema kuwadharau wanawake ya kuwa hawana uwezo, wanao sana ndio maana wameweza hata kuwaangusha wanaume wengine majiboni..besides, hebu assume mnae msema angekua mama yako mzazi.
bunge la mwaka huu likiongozwa na mwanamke tegemea kusikia maneno ya kitchen party bungeni kama!!!!!!!!!
"muheshimiwa waziri heshima yako inashuka"
"muheshimiwa mbunge limekuganda"
"muheshimiwa zitto unikome kama ulivyolikoma titi la mama yako"
"muheshimiwa utajiju"
..."muheshimiwa unalo"............ongezeni mengine jamani!!!!!!!
mheshimiwa waziri jibu swali acha kihere here kama panya kaona wageni!kihere here hakihusu hapa!
Kama mdau alivyonena hapo juu si vyema kuwadharau wanawake ya kuwa hawana uwezo, wanao sana ndio maana wameweza hata kuwaangusha wanaume wengine majiboni..besides, hebu assume mnae msema angekua mama yako mzazi.
Makinda atafika mahala atashndwa-HAMADI