wote mlioandika kuhusu wakina mama mnahitaji msaada wa uelewa kwamba binadamu wote ni sawa na wanamama ndio wenye busara kuliko zenu mmejionyesha kwa uandishi wenu wa kudhrau wanawake. POLENI NATAMANI MUENDE KOZI YA GENDER. NADHANI HAMJASOMA POLENI SANA . pIA HAMNA HESHIMA . ppOLENI SANA NA nIMEWASAMEHE BURE
bunge la mwaka huu likiongozwa na mwanamke tegemea kusikia maneno ya kitchen party bungeni kama!!!!!!!!!
"muheshimiwa waziri heshima yako inashuka"
"muheshimiwa mbunge limekuganda"
"muheshimiwa zitto unikome kama ulivyolikoma titi la mama yako"
"muheshimiwa utajiju"
..."muheshimiwa unalo"............ongezeni mengine jamani!!!!!!!
Anna Makinda sio sampuli ya walina Sophia Simba ingawa wote wako CCM!!
Huu ni udhalilishaji wa kijinsia. Tuwe na heshima na staha kidogo.
Kama huyo mwanamke alochaguliwa una tatizo nae, muongelee yeye binafsi sio kuleta dharau za aina hii kwa wanawake wote.
Hamkuzaliwa nyie?
Shame on wanawake wote waliochangia kuendeleza upuuzi huu
mheshimiwa utajiju!:israel:Kwa tarifa yeni acheni dharau na matusi, atawasuprise anna makind.Ndo mtajua kuwa anaweza.Big up annna makinda.
Kwa kweli bungeni hapatakuwa patamu as before. Huyu mama amekaa mjengoni sana na kwa mawazo yangu!angekuwa kichwa siku nyingi angekuwa speaker.I think thithiem wamechoka na wanachinjiana baharini wenyewe hasa kwa kummwaga sita. Ushauri wangu ni kwa wapinzani kujipanga as wataneemeka sana na huu mparanganyiko.