Bunge la 10: A Wrong 1st Step!, A Wrong 1st Start!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,442
113,452
Wanabodi,
Bado niko mjini Dodoma ili kushudia Uzinduzi wa Bunge la Kumi utakafanyika siku ya Alhamisi tarehe 18/11/2010.

Nasema limeanza with wrong step, kuhalalisha ubaguzi wa kijinsia kwa kisingizio cha affimative action cha kutaka 'Spika Mwanamke'!. This was a wrong move!. Akizungumzia sababu za kumpiga bosi wake, connection ya mafisadi, etc, Spika Makinda amejibu with confidence, no connection, ila amejikanyaga pale alipokiri kuwa kama Sitta angepitishwa, yeye angejitoa, which means alishakuwa tipped Sitta hapitishwi!.
'Politics is indeed a dirty game'!.

Not only a wrong move, but also a wrong start, kwanini lizinduliwe Alhamisi, wakati lingeweza kabisa kuzinduliwa J.4! na biashara ikaisha, watu tukaendelea ma mambo mengine?.

Sio kwamba nauliza swali, bali ni poor planning tangu mwanzo. Mwanzo ilikuwa lizinduliwe Jumatano, lakini kwa vile itaangukia sikukuu, sasa litazinduliwa Alhamisi. Hivi Jumatatu na Jumanne wabunge watakuwa wanafanya nini?. Jumatatu is a waste completely, kwa mtu asiye na shughuli yoyote kuishi Dodoma siku 3 with nothing to do, is a waste!.

Jumanne ndipo jina la Waziri Mkuu litafichuliwa na kupitishwa na Bunge, ataapishwa Alhamisi asubuhi, rais alizindue Bunge Alhamisi jioni. Why all this drag?.

Bad time management ni dalili ya kwanza ya a wrong start, Jina la PM lilitakiwa liletwe Jumatatu, lipitishwe, Jumanne asubuhi aapishwe, jioni Rais alifungue bunge, Alhamisi atangaze cabinet, Ijumaa/Jumamosi liapishwe.

Sio siri niko frustrated a bit na haya maroroso ya mwanzo mwanzo.
Paskali
 
Bad time management ni dalili ya kwanza ya a wrong start, Jina la PM lilitakiwa liletwe Jumatatu, lipitishwe, Jumanne asubuhi aapishwe, jioni Rais alifungue bunge, Alhamisi atangaze cabinet, Ijumaa/Jumamosi liapishwe.

Sio siri niko frustrated a bit na haya maroroso ya mwanzo mwanzo.

What do expect from a political cabal of thieves?
 
Pasco, unashangaa nini? Kweli kwa bunge hili la huyu mama unategemea chochote?
Mtu mmoja aliniambia kwa watanzania kila kitu ni sawa yaani kila kiongozi analoleta ni sawa na huwa ni kosa kuli question. Angalia wasije wakakusikia na kukutenga kwenye press conference zao maana hivyo ndivyo wanavyowafanya watafiti wote au niseme wadadisi wote. Na kutufanya tukose nyuzi......
Take care son.
 
Ni miaka mitano ya ombwe katika miimili yote mitatu. Unapokuwa na rais asiyejua kwa nini nchi yake ni maskini na kaingia madarakani kwa kuiba kura, Spika wa bunge aliyepewa nafassi kwa sifa tu ya kuvaa sidiria na sketi na mwanasheria mkuu anayeonekana kwenye kuapisha watu tu huku idara ya mahakama ikizidi kudorora ni ishara ya nchi kutokomea gizani ktk miaka mitano ijayo. Pole sana watanzania.
 
Pasco, unashangaa nini? Kweli kwa bunge hili la huyu mama unategemea chochote?
Mtu mmoja aliniambia kwa watanzania kila kitu ni sawa yaani kila kiongozi analoleta ni sawa na huwa ni kosa kuli question. Angalia wasije wakakusikia na kukutenga kwenye press conference zao maana hivyo ndivyo wanavyowafanya watafiti wote au niseme wadadisi wote. Na kutufanya tukose nyuzi......Take care son.
Thanks, hawataweza tena kututenga, soon watapitisha ile media bill yenye the right to information.
 
Kwa nini hao wabunge wasichelewe kidogo hapo ili wapate per diems za mtaji wa krismas na mwaka mpya. Hivi wanapata shilingi ngapi kwa siku?
 
Duh!!! kweli iko kazi mwaka huu.
Kwao hizo hiyo ni planned mission ili wapate posho tu hakuna lingine. Hawana huruma na hela ya mlipa kodi hata kidogo,
Wakati UK/US wanakata cost sisis huku hata kubana kile kidogo tulichonacho hatuwezi, baadaye jamaa anaenda kutembeza bakuli.....MUNGU ainusuru nchi hii
 
Wabunge wa kenya walikuwa sahihi kuzichapa bungeni miaka ile maana inafikia wakati mmbunge mwenye uchungu hataweza kijizuia na ataropoka madudu watu warushe ngumi!hopeless leaders,especially now with a speaker who doesn't believe in mafisadi!!
 
tatizo ni moja unapogusa suala la maslahi wabunge wanaungana kama wasomali na mirungi ndiyo maana hata komu uzalendo ulimshinda akataka bunge limchulie hatua bosi wake Slaa kwa kutangaza mishahara na posho yao kwa wananchi .
 
Wanabodi,
Bado niko mjini Dodoma ili kushudia Uzinduzi wa Bunge la Kumi utakafanyika siku ya Alhamisi tarehe 18/11/2010.

Nasema limeanza with wrong step, kuhalalisha ubaguzi wa kijinsia kwa kisingizio cha affimative action cha kutaka 'Spika Mwanamke'!. This was a wrong move!. Akizungumzia sababu za kumpiga bosi wake, connection ya mafisadi, etc, Spika Makinda amejibu with confidence, no connection, ila amejikanyaga pale alipokiri kuwa kama Sitta angepitishwa, yeye angejitoa, which means alishakuwa tipped Sitta hapitishwi!.
'Politics is indeed a dirty game'!.

Not only a wrong move, but also a wrong start, kwanini lizinduliwe Alhamisi, wakati lingeweza kabisa kuzinduliwa J.4! na biashara ikaisha, watu tukaendelea ma mambo mengine?.

Sio kwamba nauliza swali, bali ni poor planning tangu mwanzo. Mwanzo ilikuwa lizinduliwe Jumatano, lakini kwa vile itaangukia sikukuu, sasa litazinduliwa Alhamisi. Hivi Jumatatu na Jumanne wabunge watakuwa wanafanya nini?. Jumatatu is a waste completely, kwa mtu asiye na shughuli yoyote kuishi Dodoma siku 3 with nothing to do, is a waste!.

Jumanne ndipo jina la Waziri Mkuu litafichuliwa na kupitishwa na Bunge, ataapishwa Alhamisi asubuhi, rais alizindue Bunge Alhamisi jioni. Why all this drag?.

Bad time management ni dalili ya kwanza ya a wrong start, Jina la PM lilitakiwa liletwe Jumatatu, lipitishwe, Jumanne asubuhi aapishwe, jioni Rais alifungue bunge, Alhamisi atangaze cabinet, Ijumaa/Jumamosi liapishwe.

Sio siri niko frustrated a bit na haya maroroso ya mwanzo mwanzo.

Pasco, usiwe frustrated uwe mvumilivu, kwani hivyo ndivyo mnavyoiendesha hii nchi yenu!!
 
Rais bomu, spika ovyo, serikali kubwa ya Zanzibar katika kisiwa kidogo (tena maskini) na sasa tusubiri Waziri mkuu juha. Nimechoka kabisa. TZ ipo rehani kwa miaka mitano ijayo.
 
Nabashiri kuwa ni moja ya mabunge yatakayokuwa magumu kama busara itawekwa kando halafu ushabiki ukatawala. Italeta vuguvugu kubwa la mabadiliko kuliko lile lililotokana na maamuzi ya kumfungia Zitto ubunge kwasababu ya kudanganya.
 
Wanabodi,
Bado niko mjini Dodoma ili kushudia Uzinduzi wa Bunge la Kumi utakafanyika siku ya Alhamisi tarehe 18/11/2010.

Nasema limeanza with wrong step, kuhalalisha ubaguzi wa kijinsia kwa kisingizio cha affimative action cha kutaka 'Spika Mwanamke'!. This was a wrong move!. Akizungumzia sababu za kumpiga bosi wake, connection ya mafisadi, etc, Spika Makinda amejibu with confidence, no connection, ila amejikanyaga pale alipokiri kuwa kama Sitta angepitishwa, yeye angejitoa, which means alishakuwa tipped Sitta hapitishwi!.
'Politics is indeed a dirty game'!.

Not only a wrong move, but also a wrong start, kwanini lizinduliwe Alhamisi, wakati lingeweza kabisa kuzinduliwa J.4! na biashara ikaisha, watu tukaendelea ma mambo mengine?.

Sio kwamba nauliza swali, bali ni poor planning tangu mwanzo. Mwanzo ilikuwa lizinduliwe Jumatano, lakini kwa vile itaangukia sikukuu, sasa litazinduliwa Alhamisi. Hivi Jumatatu na Jumanne wabunge watakuwa wanafanya nini?. Jumatatu is a waste completely, kwa mtu asiye na shughuli yoyote kuishi Dodoma siku 3 with nothing to do, is a waste!.

Jumanne ndipo jina la Waziri Mkuu litafichuliwa na kupitishwa na Bunge, ataapishwa Alhamisi asubuhi, rais alizindue Bunge Alhamisi jioni. Why all this drag?.

Bad time management ni dalili ya kwanza ya a wrong start, Jina la PM lilitakiwa liletwe Jumatatu, lipitishwe, Jumanne asubuhi aapishwe, jioni Rais alifungue bunge, Alhamisi atangaze cabinet, Ijumaa/Jumamosi liapishwe.

Sio siri niko frustrated a bit na haya maroroso ya mwanzo mwanzo.

Hiyo ndo tanzania mkuu we unategemea nini? wao wanachojali posho inaingia tu hata kama hamna kinachowaweka hapo dom na wanatamani hilo bunge lisiishe yani liendelee mwaka mzima, we huoni dom ilivyopendeza siku kumi hizi? mpaka machangu waliobobea naskia wapo hapo
hakuna mtu mwenye machungu na nchi hapo watu wanajali matumbo yao tu wakati mitaani ukienda tandale mkate unauzwa kwa kuhesabiana slice siku hizi mpaka blue band ukienda kwa mangi watu wananunua kwa kijiko..... natamani kuukana uraia wa taifa hili:rip:
 
Wanabodi,
Bado niko mjini Dodoma ili kushudia Uzinduzi wa Bunge la Kumi utakafanyika siku ya Alhamisi tarehe 18/11/2010.

Nasema limeanza with wrong step, kuhalalisha ubaguzi wa kijinsia kwa kisingizio cha affimative action cha kutaka 'Spika Mwanamke'!. This was a wrong move!. Akizungumzia sababu za kumpiga bosi wake, connection ya mafisadi, etc, Spika Makinda amejibu with confidence, no connection, ila amejikanyaga pale alipokiri kuwa kama Sitta angepitishwa, yeye angejitoa, which means alishakuwa tipped Sitta hapitishwi!.
'Politics is indeed a dirty game'!.

Not only a wrong move, but also a wrong start, kwanini lizinduliwe Alhamisi, wakati lingeweza kabisa kuzinduliwa J.4! na biashara ikaisha, watu tukaendelea ma mambo mengine?.

Sio kwamba nauliza swali, bali ni poor planning tangu mwanzo. Mwanzo ilikuwa lizinduliwe Jumatano, lakini kwa vile itaangukia sikukuu, sasa litazinduliwa Alhamisi. Hivi Jumatatu na Jumanne wabunge watakuwa wanafanya nini?. Jumatatu is a waste completely, kwa mtu asiye na shughuli yoyote kuishi Dodoma siku 3 with nothing to do, is a waste!.

Jumanne ndipo jina la Waziri Mkuu litafichuliwa na kupitishwa na Bunge, ataapishwa Alhamisi asubuhi, rais alizindue Bunge Alhamisi jioni. Why all this drag?.

Bad time management ni dalili ya kwanza ya a wrong start, Jina la PM lilitakiwa liletwe Jumatatu, lipitishwe, Jumanne asubuhi aapishwe, jioni Rais alifungue bunge, Alhamisi atangaze cabinet, Ijumaa/Jumamosi liapishwe.

Sio siri niko frustrated a bit na haya maroroso ya mwanzo mwanzo.
...tutegemee maajabu na miujiza mikubwa kabisa katika bunge hili, ndio maana nilitabiri na katika yale sababu zake zinatokana na bunge la aina hii. Huo ndio mwanzo wa Mheshimiwa Spikaaaaa!:tape:

Tutegemee pia "Mheshimiwa ...... kaa chini umekiuka kanuni ii kifungu q cha kanuni za bunge!!!":smile-big:

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Wanabodi,
Bado niko mjini Dodoma ili kushudia Uzinduzi wa Bunge la Kumi utakafanyika siku ya Alhamisi tarehe 18/11/2010.

Nasema limeanza with wrong step, kuhalalisha ubaguzi wa kijinsia kwa kisingizio cha affimative action cha kutaka 'Spika Mwanamke'!. This was a wrong move!. Akizungumzia sababu za kumpiga bosi wake, connection ya mafisadi, etc, Spika Makinda amejibu with confidence, no connection, ila amejikanyaga pale alipokiri kuwa kama Sitta angepitishwa, yeye angejitoa, which means alishakuwa tipped Sitta hapitishwi!.
'Politics is indeed a dirty game'!.

Not only a wrong move, but also a wrong start, kwanini lizinduliwe Alhamisi, wakati lingeweza kabisa kuzinduliwa J.4! na biashara ikaisha, watu tukaendelea ma mambo mengine?.

Sio kwamba nauliza swali, bali ni poor planning tangu mwanzo. Mwanzo ilikuwa lizinduliwe Jumatano, lakini kwa vile itaangukia sikukuu, sasa litazinduliwa Alhamisi. Hivi Jumatatu na Jumanne wabunge watakuwa wanafanya nini?. Jumatatu is a waste completely, kwa mtu asiye na shughuli yoyote kuishi Dodoma siku 3 with nothing to do, is a waste!.

Jumanne ndipo jina la Waziri Mkuu litafichuliwa na kupitishwa na Bunge, ataapishwa Alhamisi asubuhi, rais alizindue Bunge Alhamisi jioni. Why all this drag?.

Bad time management ni dalili ya kwanza ya a wrong start, Jina la PM lilitakiwa liletwe Jumatatu, lipitishwe, Jumanne asubuhi aapishwe, jioni Rais alifungue bunge, Alhamisi atangaze cabinet, Ijumaa/Jumamosi liapishwe.

Sio siri niko frustrated a bit na haya maroroso ya mwanzo mwanzo.

Wana CCM wanajua fika hiyo ilikuwa danganya toto na wananchi wengi wameishtukia hiyo kikwete anajihalibia kabia na kama sie yeye basi kama anawasilikiliza hao wanao jifanya CCM ndio yao basi wanakiweka chama CCM kubaya kabisa, chaguo lao lingine ni Job Ndugae kawa naibu wa Spika tayali sasa hii ndio ilikuwa inaonyesha wazi kuwa walikuwa wanaweka safu zao kwa kisingizio cha wanawake wana weza huuuo ni uongo wa hali ya juuu na utaipeleka nchi kubaya sana na kughalimu maisha ya watu kuwekeana visasi na kuuwana au kuwindana.

Kwanini nasema visasi mpaka sasa huku majimboni esp kweney yale majimbo yaliyo potezwa na CCM bado wana mtafuta mchawi wa nani au akina nani walio saliti chama cha kushangaza zaidi hata muda haujaenda sana CCM huko makao makuu wakamwondoa Sitta kwenye Uspika hii ni dhahili kuwa mchawi wao ni wao wenyewe na viongozi wao na mfano ndio huo wa Sitta kunyimwa uspika kwani hakuwa na baya kwa bunge bali CCM wao wameona hafai sasa kwanini huku waliko poteza ubunge nao wasichukulie kawaida kuwa wabunge waliopoteza ubunge nao wachukulie kuwa hawafai na ndio maana wananchi wamewatosa na kuchagua upinzani.

CCM wao kwa wao ndio wachawi sasa wajaribu kumtafuta mchawi maajabu haya khaaa.
 
Wanabodi,
Bado niko mjini Dodoma ili kushudia Uzinduzi wa Bunge la Kumi utakafanyika siku ya Alhamisi tarehe 18/11/2010.

Nasema limeanza with wrong step, kuhalalisha ubaguzi wa kijinsia kwa kisingizio cha affimative action cha kutaka 'Spika Mwanamke'!. This was a wrong move!. Akizungumzia sababu za kumpiga bosi wake, connection ya mafisadi, etc, Spika Makinda amejibu with confidence, no connection, ila amejikanyaga pale alipokiri kuwa kama Sitta angepitishwa, yeye angejitoa, which means alishakuwa tipped Sitta hapitishwi!.
'Politics is indeed a dirty game'!.

Sio siri niko frustrated a bit na haya maroroso ya mwanzo mwanzo.
Hiki kinachotokea sasa bungeni, wengine tulikiona tangu 2010!, three years before!.
Paskali
 
Back
Top Bottom