johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,763
Moja ya kipimo cha kuimarika kwa upinzani ni uwepo wa Kambi rasmi ya upinzani na mabaraza ya madiwani yanayoongozwa na vyama vya upinzani.
Kwa sasa hapa Tanzania hivyo vyote havipo. Ni kama vile tumerudi mwaka 1992 wakati mfumo wa sasa wa vyama vingi unaasisiwa.
Ili upinzani urejeshe makali yake ni lazima wapatikane viongozi aina ya mchungaji Mtikila au Mabere Marando ambao pamoja na misukosuko mingi waliyopitia hawajawahi kukimbilia ubalozi wa Ulaya ama kuvuka mipaka kinyemela huko Namanga, walipambana ndani ya nchi yao na huo ndio uzalendo.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa sasa hapa Tanzania hivyo vyote havipo. Ni kama vile tumerudi mwaka 1992 wakati mfumo wa sasa wa vyama vingi unaasisiwa.
Ili upinzani urejeshe makali yake ni lazima wapatikane viongozi aina ya mchungaji Mtikila au Mabere Marando ambao pamoja na misukosuko mingi waliyopitia hawajawahi kukimbilia ubalozi wa Ulaya ama kuvuka mipaka kinyemela huko Namanga, walipambana ndani ya nchi yao na huo ndio uzalendo.
Maendeleo hayana vyama!