The Sheriff
JF-Expert Member
- Oct 10, 2019
- 617
- 1,799
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imepanga kupokea maoni ya wadau kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali za Fedha wa Mwaka 2022.
Mkutano wa kupokea na kusiikiliza maoni ya wadau utafanyika siku ya Jumanne tarehe 20 Septemba, 2022 saa 4:00 asubuhi katika ukumbi wa Pius Msekwa, Ofisi ya Bunge Jijini Dodoma.
Kamati inawaalika watu wote wenye maoni kuhusu muswada huo kufika na kuwasilisha maoni yao kabla haujapelekwa hatua nyingine.
Mkutano wa kupokea na kusiikiliza maoni ya wadau utafanyika siku ya Jumanne tarehe 20 Septemba, 2022 saa 4:00 asubuhi katika ukumbi wa Pius Msekwa, Ofisi ya Bunge Jijini Dodoma.
Kamati inawaalika watu wote wenye maoni kuhusu muswada huo kufika na kuwasilisha maoni yao kabla haujapelekwa hatua nyingine.