Papaeliopaulos
Senior Member
- Feb 19, 2011
- 149
- 48
Mwanasheria mkuu wa serikali ametoa ufafanuzi bungeni kuhusu vipengele vya marekebisho ya mifuko ya pensheni vinavyolalamikiwa, na kuahidi kuwa ataleta tena hiyo hoja bungeni ili wabunge wavipitie Upya.
Aidha amesema serikali haina hila yeyote katika hilo na kuwa uwezekano wa kuvirekebisha au kuvirejesha kama zamani upo.
Yeye mwenyewe angeweza kuvirekebisha kitaalamu lakini ameona sio vyema afanye mwenyewe
Source: TBC Bunge
Aidha amesema serikali haina hila yeyote katika hilo na kuwa uwezekano wa kuvirekebisha au kuvirejesha kama zamani upo.
Yeye mwenyewe angeweza kuvirekebisha kitaalamu lakini ameona sio vyema afanye mwenyewe
Source: TBC Bunge