Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,224
Kesho Siku ya Jumanne Bunge linatarajia kukaa mjini Dodoma.
Haya ni mambo muhimu
-Wabunge wa CUF wanatarajia kuapa mbele bunge la Jamuhuri ya muungano Tanzania.
-Halima mdee na Ester Bulaya wamefungiwa kwa kuonesha tabia za kihuni bungeni..
-Wabunge wengi wameshawasili Dodoma.
Haya ni mambo muhimu
-Wabunge wa CUF wanatarajia kuapa mbele bunge la Jamuhuri ya muungano Tanzania.
-Halima mdee na Ester Bulaya wamefungiwa kwa kuonesha tabia za kihuni bungeni..
-Wabunge wengi wameshawasili Dodoma.